lumanga
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 114
- 48
Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi kuna maada inayosema "DEMOCRASIA IOGOPE GHARAMA?
Ni swali linahoji gharama, wachagiaji wamengeme kwenye kuongeza muda wa uchaguz. Wengne wamesema miaka 7 inapendeza kuipa serkali ili itekeleze vizur ahandi zake na kupunguza gharama za uchaguz. Mwingne amepinga hoja hii.
Je ww unasemaje??
Karbuni!!!
Ni swali linahoji gharama, wachagiaji wamengeme kwenye kuongeza muda wa uchaguz. Wengne wamesema miaka 7 inapendeza kuipa serkali ili itekeleze vizur ahandi zake na kupunguza gharama za uchaguz. Mwingne amepinga hoja hii.
Je ww unasemaje??
Karbuni!!!