Pole mkuu!Inauzwa bei ya gari?Kwa Yale Maelezo Nakusanya Cash
Ninunue Kengele Ile, Ila Mwanzo Nilidhani Inauza Laki Kadhaa.
Kumbe Inahitaji Pesa Ndefu Mpaka Unachoka Na Huu Uchumi Wa Kati
Kama wana kila ushahidi kuhusu yesu kristu kwa nini hawamfuati?Wao Wanafanya Yao Mengine
Aisee ,duuuuu,nimefurahi tuuuuu,asante mtoa madaLini Nami Nitatembea Huku......View attachment 1145699View attachment 1145699View attachment 1145700View attachment 1145701View attachment 1145702View attachment 1145703View attachment 1145704View attachment 1145705View attachment 1145707View attachment 1145706View attachment 1145709View attachment 1145710View attachment 1145715View attachment 1145718View attachment 1145717View attachment 1145714View attachment 1145713View attachment 1145716View attachment 1145717View attachment 1145708View attachment 1145712View attachment 1145711
Nami niongezee, hv hiyo bustani walimoishi Adam na Eva ipo nchi gani? Watujuze tafadhali?Mi nataka kujua walipoishi Adam na Hawa
Ishu sio kushusha radi tu,hio radi inatoka kwa nani?Eliya alishusha moto kutoka kwa Mungu Muumba wa mbingu na nchi,na alishusha ili kuwaonyesha wale manabii 400 wa mungu Baali kwamba yupo Mungu wa kweli,na ule moto ulishuka ili kulamba sadaka na ukalamba hadi mawe na maji yaliyowekwa pale,sasa huyo mzee wa Sumbawanga anashusha radi ya mazingaombwe tu,kumbuka hata wachawi wa Pharaoh walibadili fimbo kuwa nyoka na waliiga mambo kadhaa aliyofanya Musa lakini baadae wao wenyewe walikiri kwamba hawawezi tena maana ule ulikuwa ni mkono wa Mungu.Watu wanashangaa Elijah kushusha moto na wanamsifu bila kujua kuna wazee pale Sumbawanga wanaweza kushusha radi.
Wonders will never cease