Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,440
Naitafuta wiki ya pili sasa sijui ni huyu mdudu Futa amebisha hodi kwangu au ni nini ilianza kama homa hvi ya jion nikawa naipuuzia nikidhani ni uchovu tu.
Jumapili iliyopita siku hyo nilikua nimeshinda garage nikatoka nimechelewa ikabid nipite Bar nimalizie wkend ila mwili nikawa bado siuelewi vizuri ikanibid nijisogeze tu home.
Usiku nimelala nilishikwa na homa Kali sana ila dalili zote ni kama malaria nilikaza mpka asubuhi ila niko hoi sana nikaenda duka la dawa nikanunua single dose ya malaria malafin baada ya kuinywa mpka imefika jion nikahis mwili unakua sawa ila usku homa ikajirudia na mafua juu.
Aisee hlo wenge nikajua hii ni Futa ina fuatilia maisha yangu ndani nilikua na Dr cold nikapiga moja usku huo nikatoboa ... Rasmi nika anza kupiga dozi ya malimau mixer tangawizi nika anza kufanya na mazoezi tangu juzi nimepoteza uwezo wa kunusa kabisa lakin ladha mdomoni bado ipo Jana nimejifukiza kidogo nasikia mwili unapata nafuu na Leo nataka niende sauna nipigwe mvuke.
Nina maswali najiuliza hizi ndo dalili za mwanzo za covid au? Je kila Mtu ana dalili zake kulingana na uimara wa kinga mwili yake? Mimi viungo vya mwili haviumi ...na kifua hakijabana kwenye upumuaji sijapata shida japo kuna mda pua zinabana na kuachia homa inakuja ila haina nguvu sana..ila chafya kama zote.
Nina uncle yangu alipata huyu mdudu Futa alilazwa siku tano badae akakaa sawa ananihimiza sana niende kupima ananiambia hizi elimu za mtaani kuhusu huu ugonjwa kama kujifukiza matumizi ya limau na tangawizi ni hatari kwa afya zetu anasema suluhisho lipo hospital...!
Tupeane updates wanaopitia dalili mbalimbali za mdudu Futa Korie.
Jumapili iliyopita siku hyo nilikua nimeshinda garage nikatoka nimechelewa ikabid nipite Bar nimalizie wkend ila mwili nikawa bado siuelewi vizuri ikanibid nijisogeze tu home.
Usiku nimelala nilishikwa na homa Kali sana ila dalili zote ni kama malaria nilikaza mpka asubuhi ila niko hoi sana nikaenda duka la dawa nikanunua single dose ya malaria malafin baada ya kuinywa mpka imefika jion nikahis mwili unakua sawa ila usku homa ikajirudia na mafua juu.
Aisee hlo wenge nikajua hii ni Futa ina fuatilia maisha yangu ndani nilikua na Dr cold nikapiga moja usku huo nikatoboa ... Rasmi nika anza kupiga dozi ya malimau mixer tangawizi nika anza kufanya na mazoezi tangu juzi nimepoteza uwezo wa kunusa kabisa lakin ladha mdomoni bado ipo Jana nimejifukiza kidogo nasikia mwili unapata nafuu na Leo nataka niende sauna nipigwe mvuke.
Nina maswali najiuliza hizi ndo dalili za mwanzo za covid au? Je kila Mtu ana dalili zake kulingana na uimara wa kinga mwili yake? Mimi viungo vya mwili haviumi ...na kifua hakijabana kwenye upumuaji sijapata shida japo kuna mda pua zinabana na kuachia homa inakuja ila haina nguvu sana..ila chafya kama zote.
Nina uncle yangu alipata huyu mdudu Futa alilazwa siku tano badae akakaa sawa ananihimiza sana niende kupima ananiambia hizi elimu za mtaani kuhusu huu ugonjwa kama kujifukiza matumizi ya limau na tangawizi ni hatari kwa afya zetu anasema suluhisho lipo hospital...!
Tupeane updates wanaopitia dalili mbalimbali za mdudu Futa Korie.