Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuuu, kwa sasahivi zimetolewa hela nyingi sana kwenda mikoani kwa ajili Ya Maendeleo Ya wananchi, pesa zinatumwa kila kukicha miradi Ya Maji, inafuguliwa, barabara hela zinatumwa, huko mahospitalini kumenoga mambo yanarekebishwa, wakuu kumbe serikali hiii ina hela nyingi hivyo?
Tuombe tume Ya Uchaguzi iongeze angalau miezi miwili wakuu, Magufuli atazitoa zote, nimeshangaa hadi Mtwara Jana serikali ikatangaza kutuma bilioni 20 Kwa ajili ya miradi Ya Maji Ya kule, huyu Magufuli kumbe alitufanya mabumunda kutokanaa na sisi kukosa watu wa kupasa sauti, Lissu MUNGU akulinde, yaani Magufuli alivyokuwa anawatukana wananchi kwa dharau alihisi kuwa ameishaipata nchi hahahahahahhaha nimecheka sana.
Huyu mzee alikuja kuwa yeye ni jiwe kweli kweli kumbe watu walikuwa wanamchora na kumcheka khaaaa! Na afahamu kuwa hapo ndio anapomuongezea nguvu Lissu na kuwaonesha wananchi wazi kuwa kumbe Lissu ndio mkombozi wao, na asingekuwa Lissu hayo mapesa yangekuwa yanaendelea kumiminika kule Chato tu, na Kwa sasa Hakuna cha Chato wala cha jiwe, mijitu imekaaa na kujitoa unaham na kumsema Lissu vibaya wakati ndani ya mwezi mmoja tu kakomboa watu mamilioni na mamilioni Kwa kupasa tu Sauti.
Tuombe tume Ya Uchaguzi iongeze angalau miezi miwili wakuu, Magufuli atazitoa zote, nimeshangaa hadi Mtwara Jana serikali ikatangaza kutuma bilioni 20 Kwa ajili ya miradi Ya Maji Ya kule, huyu Magufuli kumbe alitufanya mabumunda kutokanaa na sisi kukosa watu wa kupasa sauti, Lissu MUNGU akulinde, yaani Magufuli alivyokuwa anawatukana wananchi kwa dharau alihisi kuwa ameishaipata nchi hahahahahahhaha nimecheka sana.
Huyu mzee alikuja kuwa yeye ni jiwe kweli kweli kumbe watu walikuwa wanamchora na kumcheka khaaaa! Na afahamu kuwa hapo ndio anapomuongezea nguvu Lissu na kuwaonesha wananchi wazi kuwa kumbe Lissu ndio mkombozi wao, na asingekuwa Lissu hayo mapesa yangekuwa yanaendelea kumiminika kule Chato tu, na Kwa sasa Hakuna cha Chato wala cha jiwe, mijitu imekaaa na kujitoa unaham na kumsema Lissu vibaya wakati ndani ya mwezi mmoja tu kakomboa watu mamilioni na mamilioni Kwa kupasa tu Sauti.