Tunza Lodge in Mwanza, your services are poor!

Oct 22, 2009
7
0
I'm here in the so called Tunza Lodge, it is oercroweded at some point. I have been calling for a menu but no waiter or waitress has been coming to ask if I'm ready for my order, the waiters are just passing without even looking at me.
There is plenty of tourists and customers, and it has been almost an hour since my request now and nothing is happening. I don't know if I have been ignored because o my race, or my appearance , I'm not even a big guy. but this isn't fair at all. thanks
 
I had a similar experience, thrice, since I moved to Mwanza early last year. That made me stop going to the place. it might be that I am self conscious OR the staff really "ignore waswahili wenzao"

The strange thing is that the behaviour is almost the same at another Mwanza joint - Tilapia. I have always felt that I am being serverd resentfully. However when I am in the company of a "white" colleague/friend the service and attitude of the staff is very different.

This seems to be a problem at most of the establishments that are frequented by whites, at least here in Mwanza. For some reasons our brothers and sisters who work there consider us "unworthy"!
 
I had a similar experience, thrice, since I moved to Mwanza early last year. That made me stop going to the place. it might be that I am self conscious OR the staff really "ignore waswahili wenzao"

I don't know if I have been ignored because o my race, or my appearance , I'm not even a big guy. but this isn't fair at all.

Android & nyau:

Hapo Mwanza hakuna sehemu nzuri zaidi ya Tunza na Tilapia? Kwenye soko huria utawala/uongozi wa hivi vi-migahawa (aka hotel or lodge) wana haki ya kukataa mteja au kumjali mteja - Nenda Coconut au pale Mapinda Guest House kuna huduma murua na hawaangalia u-race!
 
hapo mahala mtalii akifika anapewa kipaumbe kuliko weye maybe wanajua sisi wenye rangi hii hatuwezi kutoa TIP
ila sio powa kumfanyia mzawa mambo haya kwenye aridhi ya nchi yake
 
Kuna jamaa yangu anataka kwenda Mwanza lakini yeye ni Mbantu Je ni sehemu / hotel gani ambayo ni nzuri kwake in terms of Huduma
 
Kuna jamaa yangu anataka kwenda Mwanza lakini yeye ni Mbantu Je ni sehemu / hotel gani ambayo ni nzuri kwake in terms of Huduma
Kwa swali lako rejea posts hapo juu!

Lakini huenda wana historia yako juu ya uwajibikaji wako pindi upewapo huduma...Lakini tofauti na hivyo, waitie Meneja wao awaondoe kazi haraka, kuna watu kibao wanangoja kazi hapo nje!
 
Kuna jamaa yangu anataka kwenda Mwanza lakini yeye ni Mbantu Je ni sehemu / hotel gani ambayo ni nzuri kwake in terms of Huduma

Mwanza Sehemu nzuri nyingi na zenye huduma, nenda Lakailo hotel utakuta ma binti wa kikenya wanatoa huduma faster,jirani yake kuna kiota kingine karibu na uwanja wa mpira wa kirumba nimekisahahu jina, nimekuwa mwanza kikazi about 3years kabla ya kuhamia dar, kuna huduma lukuki.Pia jirani na lakailo kuna kiota kingine wanachoma sana nyama ya nguruwe majina ya viota nayasahahu,lakini tembelea hasa mitaa ya kirumba,kuna sehemu nyingi mambo safi pale,husiangaike na Tunza lodge kwanza mbali sana, alafu kuna mbu wengi pale, na wamasai wao wanaomba pesa ovyo mrangoni eti kiingirio.
 
Mwanza Sehemu nzuri nyingi na zenye huduma, nenda Lakailo hotel utakuta ma binti wa kikenya wanatoa huduma faster,jirani yake kuna kiota kingine karibu na uwanja wa mpira wa kirumba nimekisahahu jina, nimekuwa mwanza kikazi about 3years kabla ya kuhamia dar, kuna huduma lukuki.Pia jirani na lakailo kuna kiota kingine wanachoma sana nyama ya nguruwe majina ya viota nayasahahu,lakini tembelea hasa mitaa ya kirumba,kuna sehemu nyingi mambo safi pale,husiangaike na Tunza lodge kwanza mbali sana, alafu kuna mbu wengi pale, na wamasai wao wanaomba pesa ovyo mrangoni eti kiingirio.

That should be VILLA PARK!! Otherwise... Nenda kwa Mama Ntilie pale Mwaloni... Hawana Ubaguzi
 
Back
Top Bottom