Na uhakika huwa wanatembea tu kuona tz lakini wakija wanauliza maswali wanatuacha na shida zetu wanarudi kwenye viyoyozi dsm.
nilimuona kule ukerewe eti anamuuliza maswali mkurugenzi mtendaji hadharani ....utafikiri hawana ofice huu mtindo pia alikuwa nao jk yeye kesha usahau
Huko ndo kujitekenya mwenyewe afu unacheka. Waacheni wahangaike tu. very soon wataanza kujifinya wenyewe afu wanalia!
Kiongozi ktk habari yooote umevutiwa hapo tu?Nywele za katikati????????????????
Alikuwa hajasikia swali aliloulizwa na mmoja ya waliopo mkutanoni, Tunu kalirudia tu.
Zomba wewe mtu mzima tafadhali. Uwongo wa mchana kweupe mmmhhhh. Bila shaka, inaonekana uwongo ni sera ya CCM....POST DELETED...
Paw
ni MAGU alikuwa na msafara wa magari kama mia na kitu. Pia aliulizwa swali na mama mmoja kuhusu serekali kutangazia wananchi huduma za kujifungua ni bure ili hali hospt hakuna hata glovis na pamba,Pinda hakuweza kumjibu
...POST DELETED....
Paw
Nimeona maajabu sana. Katika ziara za Waziri mkuu wa Tanzania kanda ya ziwa kaambatana na mkewe. Baada ya kuona Raia hawamuelewi waziri mkuu, Tunu Pinda ikabidi aulize swali kwa niaba ya wakazi wa sehemu husika.
Aliuliza;
Sisi wanawake wa hapa tunapata tabu sana katika kuchota maji hadi nywele za katikati hazikui sababu ya kujitwisha chungu, je serikali itatusaidiaje?.
Waziri akajibu;
Nimeambiwa zinahitajika mil 200 kuondokana na tatizo, hizo mil 200 nitawapeni bila tatizo.
Hii imekaaje?. mia
Uhusiano na maswali yangu???? PM hana msaidizi wa kumkbusha maswali ya wananchi??? Na kama ni kumkumbusha ilikuwa ni lazima iwe loudly????? Ndo tunaanza kupata maswali mengi sasa yeye kauliza kama nani .........mpaka wake uko wapi......companion.....mke au msaidizi????
Wapemba husema ukupigao ndo ukufunzao...............................
ni wapi huko?
Kiongozi ktk habari yooote umevutiwa hapo tu?