Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,687
- 1,279
sawa mwalimu
Hahahaaaaaaa!!! Du mkuu unataka baba nanii anitumie Rama? Si unajua namna yao ya kumaliza udhia!!
sawa mwalimu
Invisible na Buchanan,Nipo pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahali
Nipo pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahali,
Poleni sana kwa majukumu ndugu zangu hasa ya kujenga na kuimarisha utawala. Uongizi na maadili bora katika taifa hili. JF kama jukwaa huru limekuwa mstari wa mbele sana kufichua uovu na ufisadi mkubwa unaofanywa si tu na Serikali bali hata kwenye vyama vyetu.
Aliyeweka hoja hii hapa, Naomba kumfahamisha yeye na Umma wote wa JF kwamba mimi sina mbaya ndani ya CHADEMA kwa maana ya personal interest au conflict.
Pia sina ubaya wowote na binadamu yeyote katika taifa hili, kwasababu tumepewa amri mpya pendaneni YOH:13;34
Kwanini naonekana Mbaya kwa chadema?
1. Naonekana mbaya ndani ya CHADEMA kwasababu nafichua uovu ambao wanachadema wengi hawataki kuusikia, hawataki kusikia CHADEMA inahusishwa na wizi, ufisadi n,.k (Ili hali ndani ya CHADEMA kuna maovu mengi sana ambayo vinara wake tumekuwa tukipambana nao hapa mara kwa mara).
2. Naonekana mbaya ndani ya CHADEMA kwasababu hoja zangu nyingi zinaonekana zipo against na wale watu mnaowaamini kwamba wanaweza kuwa marais/viongozi wasafi katika Taifa hili. Ili hali si wasafi kwa kiwango kile sisi tunachowafikiria, Pia si kwamba wana busara kiasi kile ambacho sisi tulio nje ya CHADEMA tunafikiria juu ya watu hawa.
3. Pia naonekana mbaya kwasababu nimekuwa natuhumu moja kwa moja ukweli ulio wazi kwamba ndani ya CHADEMA kuna watu wa aina mbili wale wanaosapoti upande wa mwenyekiti na katibu, na wale wanaosadikika wapo mbali na kundi la kwanza (kundi la ant-gaza(ukabila)
KWA MAANA HIYO NITAENDELA KUONEKANA MBAYA SANA KWA SABABU SITOISHIA HAPA WALA PALE KUPIGA KELELE JUU YA MISUGUANIO INAYOENDELA NDANI YA CHADEMA HASA ILE INAYOLENGA KUGAWA RASILIMALI ZA UMMA KWA MANUFAA YA WACHACHE, PIA MISUGUANO YOTE INAYOLENGA KUWAGAWA WATU WA KUSINI+WEST TO EAST WAONEKANE HAWANA MAANA NDANI YA CHAMA,WENYE MAANA NIWALE WAZAWA WA MWASISI WA CHAMA.
ITS VERY SAD KUONA SASA CHADEMA TUMEJIKITA KUPIGANA SISI KWA SISI/KUHUJUMIANA SISI KWA SISI KULIKO KUJENGA CHAMA NA KUIMARISHA BENDERA ZA CHAMA KUANZIA KWENYE MASHINA HADI MAKAO MAKUU.
Thanx
TUNTEMEKE ONCE AGAIN
Ben Saanane kasema ye aliamua kukomaa na ID yake, so ukimtoa yeye waliobaki wote ndio TUNTEMEKEOK SASA TUAMBIENI HUYU NI JULIANA SHOZA,MCHANGE,ZZK,KITILA,AU YULE MWINGINE WA MBOZI AU NI BENI SaaNANE AU EXAUDI MAMUYA
MNAFUKUA FUKUAA MPAKA ZA AUGUST DUUUU JF KIBOKO.
Mungu huwa hamfichi mnafiki! Uliyafanya hayo gizani,leo hii unaonekana hadharani.Tuambie wewe masalia Mp7 ulipata faida gani kwa kupalilia mvurugano kwenye chama? By the way who is festo sanga? A cv can suffice the need of gt!
Inaonekana zile nyeti za vikao vya ndani Tuntemeke alikuwa anapewa na Zitto. Hawa masalia noma kweli, halafu kwa ujinga wao wanafikiri siasa za nyuma ya keyboard zinaweza kuondoa umaskini wa mTanzania
Big up Samson Mwigamba kwa kuwashtukia hawa wahuni wa Zitto na kujitenga nao hata walipojifanya watetezi wako maana hii aibu yao ingekuwa aibu yako
Mkuu usiogope,hii ni "mikwara ya nanasi nje miba kibao ndani utamu wa ajabu"Natoka Kigoma... Nimeaga kwetu... Nitakufa kwa amri ya Mungu... Siogopi kufa. ..Iwapo kifo changu kitatokana na mkono wa mtu, sidhani kama kwa mtu huyo kama hata panya atabaki nyumbani kwao. (Zotto Kabwe - Mbunge Wa Kigoma Kas 2012).