Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,136
Sijajua kwa nini wanaweka bei kubwa kupima hii dna nimekaa nikaangalia jinsi
watu wanavyoisihi hasa kwenye mahusiano na kuamini kuzaa nje ya ndoa ni swala
la kawaida kabisa kama mnaishi bila amani miaka yotee...swali nikaja kwako unahisi
hao ulio nao wote ni watoto wako??na wakipima dna unahisi umewatunzia wangapi?
Bravo weekend
watu wanavyoisihi hasa kwenye mahusiano na kuamini kuzaa nje ya ndoa ni swala
la kawaida kabisa kama mnaishi bila amani miaka yotee...swali nikaja kwako unahisi
hao ulio nao wote ni watoto wako??na wakipima dna unahisi umewatunzia wangapi?
Bravo weekend