Tungekuwa tunatafuta maisha kwa style ya wagombea Urais Vijana tungekuwa mbali

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,570
15,311
Jamaa wana kula Masada aisee.

Yaani mtu unazunguka wiki Tatu mfululizo bila kupumzika. Unavuka mabonde na milima kila Kona Tanzania unapita.

Unapoteza virutubisho vingi kwa kuongea ili ushinde. Cha ajabu hawa wote ni watu wazima miaka 50+.

Sasa wewe Kijana (20-35) unazunguka vimitaa viwili tu jijini DSM umechoka.

Unalalalala na kujigeuza kitandani kama bawabu ya mlangoni.

Tuamke sasa na sisi tuzame humo Tanzania . panda mabus, punda, bodaboda saka Mali popote zilipo nchini bila kujali utatumia muda gani safarini.

Linaloshidikana DSM haimaanishi linashindikana na Karatu.

Nimejifunza.
Yaani mgonjwa aliyewahi kupigwa Masasi zaidi ya 16 bado anarudi na kutembea nchi nzima bila Mafua wala kikohozi vipi wewe Kijana damu changa unaogopa kutawanyika nchi nzima kutafuta Mali.

Nakumbuka Mama mmoja sasa amepumzika mavumbini. Yeye alikuwa anauwezo wa kusafiri Dar Mwanza, akaingia Mtwara, akarudi Moshi, na kwenda tena Mbeya kisha kurudi Mwanza na bado ikitokea tukio papo hapo anarudi Dodoma. Alikuwa 60+.

Tuchangamke
 
kwanza tukubali kwamba wanatafuta ajira,halafu swala la kuhangaika kutuhudumia hilo sijawahi kuliunga mkono.

ndio sababu namtilia shaka sana mtu anayetumia nguvu na maneno,matendo kuutaka urais.
 
Jamaa wana kula Masada aisee.

Yaani mtu unazunguka wiki Tatu mfululizo bila kupumzika. Unavuka mabonde na milima kila Kona Tanzania unapita.

Unapoteza virutubisho vingi kwa kuongea ili ushinde. Cha ajabu hawa wote ni watu wazima miaka 50+.

Sasa wewe Kijana (20-35) unazunguka vimitaa viwili tu jijini DSM umechoka.

Unalalalala na kujigeuza kitandani kama bawabu ya mlangoni.

Tuamke sasa na sisi tuzame humo Tanzania . panda mabus, punda, bodaboda saka Mali popote zilipo nchini bila kujali utatumia muda gani safarini.

Linaloshidikana DSM haimaanishi linashindikana na Karatu.

Nimejifunza.
Yaani mgonjwa aliyewahi kupigwa Masasi zaidi ya 16 bado anarudi na kutembea nchi nzima bila Mafua wala kikohozi vipi wewe Kijana damu changa unaogopa kutawanyika nchi nzima kutafuta Mali.

Nakumbuka Mama mmoja sasa amepumzika mavumbini. Yeye alikuwa anauwezo wa kusafiri Dar Mwanza, akaingia Mtwara, akarudi Moshi, na kwenda tena Mbeya kisha kurudi Mwanza na bado ikitokea tukio papo hapo anarudi Dodoma. Alikuwa 60+.

Tuchangamke
Uzi wa Kijinga kabisa kuwahi kutokea 2020.
 
kwanza tukubali kwamba wanatafuta ajira,halafu swala la kuhangaika kutuhudumia hilo sijawahi kuliunga mkono.

ndio sababu namtilia shaka sana mtu anayetumia nguvu na maneno,matendo kuutaka urais.
Kweli mkuu wengine hadi nguvu za push-up zilitumika
 
Back
Top Bottom