Tungekuwa na utamaduni wa kubadili uongozi ingefaa

zagarinojo

JF-Expert Member
Jul 26, 2020
2,622
2,835
Habari wana JamiiForums. Ni miaka takribani 28 sasa tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe mwaka 1992 na uchaguzi wa kwanza ulifanyika mwaka 1995 ukihusisha chama zaidi ya kimoja.

Mfufulizo wa uongozi tangu miaka hiyo mpaka sasa umekuwa ukielemea upande mmoja. Yaani hatujawahi kupata chama kingine katika madaraka zaidi ya CCM.

Lakini nafikiri endapo tungekuwa na utamaduni wa kubadilisha madaraka. Yaani chama kimoja kinapopoteza nguvu ya uongozi basi chama kingine kipewe ridhaa ya uongozi.

Kwa mfano, Marekani wana utamaduni huo wa kubadilisha madaraka na uongozi hasa kwa vyama vikuu yaani Democratic na Republic.

Kubadili uongozi imechochea ufanisi na kuleta mabadiliko na kusukuma maendeleo katika nchi hiyo.

Hivyo endapo na sisi tungeliangalia hili lingeleta tija. Sio kuegemea chama kimoja tu.
 
Kabisa ukienda Uingereza ni kubadilishana Conservative na Labour kila baaada ya miaka 4 au 8 lazima chama kinabadilishwa lakini kwetu tangu mwaka 1961 ni chama kile kile kinatawala ndio maana maendeleo hayapatikani.
 
Kabisa ukienda Uingereza ni kubadilishana Conservative na Labour kila baaada ya miaka 4 au 8 lazima chama kinabadilishwa lakini kwetu tangu mwaka 1961 ni chama kile kile kinatawala ndio maana maendeleo hayapatikani.
Inauma na kusikitisha
 
Swala hili ni kupunguza muda wa kukaa madarakani kutoka 5 hadi mitatu kwa Urais ili kuongeza brains za kupngoza nchi.
 
Swala hili ni kupunguza muda wa kukaa madarakani kutoka 5 hadi mitatu kwa Urais ili kuongeza brains za kupngoza nchi.

Hivyo vyama vya nchi mlizozisema vinashindanishwa kwenye sanduku la kura. Hakuna utaratibu ulioandaliwa kuwa chama hiki kiongoze na hiki kipumzike! Yule anayeshinda ndiye anayeongoza. Mtakumbuka wakati wa Margaret Thatcher aliongoza kwa miaka mingi kabla conservative hawajashindwa uchaguzi. Na kama wangekuwa wamejipanga vizuri mpaka sasa conservative ingekuwa bado inaongoza mfululizo.

Hapa Tanzania bado CCM imejipanga vizuri, lakini siku ikidhoofika chama kingine kitachukua. Ila kwa hali ilivyo, Hakutakuwa na kanuni yoyote ya kuwapa CHADEMA au chama chochote cha upinzani utawala wakati bado wanapwaya.
 
Kabisa ukienda Uingereza ni kubadilishana Conservative na Labour kila baaada ya miaka 4 au 8 lazima chama kinabadilishwa lakini kwetu tangu mwaka 1961 ni chama kile kile kinatawala ndio maana maendeleo hayapatikani.
Tumeingia uchumi wa kati comrade kupitia uongozi imara wa serikali ya ccm. Huoni kama ni maendeleo??

Iyo dhana ya kuwa mpinzani basi lazima upinge kila kitu imepitwa na wakati comrade.
 
Swala hili ni kupunguza muda wa kukaa madarakani kutoka 5 hadi mitatu kwa Urais ili kuongeza brains za kupngoza nchi.
Comrade uchaguzi ni gharama sana na gharama zote hizo unazibeba wewe mlala hoi. Unataka tufanye uchaguzi kila baada ya miaka mitatu, mbona hujionei huruma??!
 
Kabisa ukienda Uingereza ni kubadilishana Conservative na Labour kila baaada ya miaka 4 au 8 lazima chama kinabadilishwa lakini kwetu tangu mwaka 1961 ni chama kile kile kinatawala ndio maana maendeleo hayapatikani.
Kubadilishana kwa vyama kwenye uongozi wa nchi ni jambo jema. Tunapata vionjo mbalimbali. Lakini vyama hivyo vya kubadilishana viwe vinastahili.
 
Wananchi wa Bukoba naomba wawawekee sehemu maalumu Peponi . Leo wamemwambia Meko mubashara kabisa “Hatukutaki” wala hatutakupigia kura! TBC wamekata kipande Meko anabishana na wananchi mapovu yanammwagika tuu! Kwani ni lazima wananchi wakukubali mzee?

Wana bukoba wameonesha mfano wa kumkataa Meko
 
Kama viongozi watakua productive ni bora kuliko sasa mnakaa na fisadi miaka 5.
Comrade uchaguzi ni gharama sana na gharama zote hizo unazibeba wewe mlala hoi. Unataka tufanye uchaguzi kila baada ya miaka mitatu, mbona hujionei huruma??!
 
Hakuna lolote... ni kupunguza miaka ya kukaa madarakani hadi 3 au 4..


Au uchaguzi ufanyike kwa wabunge tuu kila baada ya miaka 4 au 3 na chama chenye wabunge 60% ndio kinatoa Rais...
Hivyo vyama vya nchi mlizozisema vinashindanishwa kwenye sanduku la kura. Hakuna utaratibu ulioandaliwa kuwa chama hiki kiongoze na hiki kipumzike! Yule anayeshinda ndiye anayeongoza. Mtakumbuka wakati wa Margaret Thatcher aliongoza kwa miaka mingi kabla conservative hawajashindwa uchaguzi. Na kama wangekuwa wamejipanga vizuri mpaka sasa conservative ingekuwa bado inaongoza mfululizo.

Hapa Tanzania bado CCM imejipanga vizuri, lakini siku ikidhoofika chama kingine kitachukua. Ila kwa hali ilivyo, Hakutakuwa na kanuni yoyote ya kuwapa CHADEMA au chama chochote cha upinzani utawala wakati bado wanapwaya.
 
Kubadilishana kwa vyama kwenye uongozi wa nchi ni jambo jema. Tunapata vionjo mbalimbali. Lakini vyama hivyo vya kubadilishana viwe vinastahili.
Kwa mara ya kwanza umeandika kitu cha msingi,nimekupa like kabisa.
Kustahili au kutostahili kwa vyama kunaamuliwa na wananchi dada sweettablet .
Huwezi sema bondia huyu si mzuri huku umemfunga mkono mmoja.
Weka uwanja sawa wa ushindani,waamuzi (wananchi/wapiga kura) wataamua.
 
Kwa mara ya kwanza umeandika kitu cha msingi,nimekupa like kabisa.
Kustahili au kutostahili kwa vyama kunaamuliwa na wananchi dada sweettablet .
Huwezi sema bondia huyu si mzuri huku umemfunga mkono mmoja.
Weka uwanja sawa wa ushindani,waamuzi (wananchi/wapiga kura) wataamua.
Wenye vyama vingine wakiwa na mawazo kama yako, CCM itabaki madarakani kwa muda mrefu sana hadi wakati wenyewe utakapoamua. By the way, kama unafikiri mimi ni dada, mtume mkeo aje kunitembelea Mwanza kama wiki hivi. Ahahahahahah!
 
Kwa upinzani huu wakutukana nakukejeri juhudi za mwenzio!!? Never on earth.ata wenyewe wapinzania wanajua hawawezi na ndio maana baada ya kunadi sera zao wao nikuongea mapungufu ya mwenzie utadhania ni malaika anayeongoza.
 
Wenye vyama vingine wakiwa na mawazo kama yako, CCM itabaki madarakani kwa muda mrefu sana hadi wakati wenyewe utakapoamua. By the way, kama unafikiri mimi ni dada, mtume mkeo aje kunitembelea Mwanza kama wiki hivi. Ahahahahahah!
Unamaanisha kuwa na uwanja sawa wa kufanya siasa za vyama haiwezekani,ndio maana ukaandika hivi.
Hivyo unamaanisha pia kuwa haki haiji bila kuipigania.
Je,kuna ulazima wa "kuipigania" haki hiyo? Kwa nini msifute mfumo wa vyama vingi?
 
Back
Top Bottom