Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hayati JKN siwezi kumlaumu sana maana wakati akitawala enzi hizo nchi nyingi zilikuwa bado hazijajitambua na mkono wa mataifa ya nje ulididimiza mataifa ya kiafrika.
Chukulia tu kwa awamu tatu zilizopita kila moja ingethubuti kutekeleza miradi mikakati mikubwa ya maana ya kimaendeleo leo tungekuwa wapi?
Sgr hii ambayo leo hii tunaihangaikia ingeanza wakati wa Mzee Mwinyi leo tungekuwa hatujamaliza? JNHP ingeanza wakati wa Mzee Kikwete tungekuwa hatujamaliza?
Taifa letu linahitaji viongozi wenye uthubutu ili tujikwamue.
Chukulia tu kwa awamu tatu zilizopita kila moja ingethubuti kutekeleza miradi mikakati mikubwa ya maana ya kimaendeleo leo tungekuwa wapi?
Sgr hii ambayo leo hii tunaihangaikia ingeanza wakati wa Mzee Mwinyi leo tungekuwa hatujamaliza? JNHP ingeanza wakati wa Mzee Kikwete tungekuwa hatujamaliza?
Taifa letu linahitaji viongozi wenye uthubutu ili tujikwamue.