Namsikia Mkinga radio one anazungumzia bajeti. huyu bwana ana data, sio mwoga na mpiganaji mzalendo. tungekuwepo na mikinga mia, ccm ingenyoka nadhani
Siyo CCM tu hata CHADEMA akina Slaa wangenyooka, wangeacha kuoa wake za wenzao na kuwapa mimba huku wakiwaita "mchumba".