Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Msomi wa hadhi ya Phd ya uchumi bila aibu anaongea mbele ya luninga ya taifa kuwa serikali ikilipa madeni kutakuwa na mzunguko wa pesa hivyo mzigo wa tozo za miamala ya simu utakuwa stahimilivu. Hii ni dharau kubwa.
Mkandarasi akilipwa madeni na serikali kweli pesa inaingia kwenye mzunguko. Lakini ndio sababu ya kuondoa mzigo wa kodi? Je huo mzunguko wa pesa utamfikia kila mwananchi kwa usawa?
Kwa namna ya dharau aliyonayo Mwigulu kwa watanzania ipo haja kuwa na katiba inayotaka mawaziri kuwa na ajira za mikataba akileta dharau na upuuzi wananchi wanamtimua.
Ndio maana watu kama akina Mwigulu hawataki katiba mpya.
Mkandarasi akilipwa madeni na serikali kweli pesa inaingia kwenye mzunguko. Lakini ndio sababu ya kuondoa mzigo wa kodi? Je huo mzunguko wa pesa utamfikia kila mwananchi kwa usawa?
Kwa namna ya dharau aliyonayo Mwigulu kwa watanzania ipo haja kuwa na katiba inayotaka mawaziri kuwa na ajira za mikataba akileta dharau na upuuzi wananchi wanamtimua.
Ndio maana watu kama akina Mwigulu hawataki katiba mpya.