omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,590
Si kweli hiyo ni perception yako,ujamaa umewatoa Chinese,kisha kuruhusu mabwanyenyeUjamaa hufanya watu kuwa wavivu na kuona kila aliye nacho ni mwizi
Si kweli hiyo ni perception yako,ujamaa umewatoa Chinese,kisha kuruhusu mabwanyenyeUjamaa hufanya watu kuwa wavivu na kuona kila aliye nacho ni mwizi
SAP ni ufupisho wa maneno matatu ya kiingreza. S:-stands for Structural, A:-stands for Adjustment and P:- for Program.So, in its full form SAP ni Structural Adjustment Program.Kiufupi ni kwamba IMF na WB walifanya mabadiliko katika namna ya kutoa mikopo kwa mataifa ambayo uchumi wake ulikuwa ukipitia kipindi kigumu baada ya kutokea oil crisis,drought nadhani na fall of the USSR.Fafanua sap ndio nini wengine atuijui
Ujamaa ndiyo umetufikisha hapa. Sikiliza hapaKosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana
Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada
Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu
Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah
Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
Halafu ukiacha ujamaa tukakimbilia kujiunga na Non Aligned Movement (NAM) ambayo hatukujua maana yake ni nini tumebaki watembeza bakuli kama Malaya tu kisa hatufungamani na upande wowote wakati wenzetu waliingia NAM wakatumia siasa ya kujitegemea wakakuza uchumi wao vizuri kwa kutumia rasilimali zao na wataalamu wao sisi tunabaki na NAM kama mazuzu tu.Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana
Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada
Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu
Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah
Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
Soko huriaSAP ni ufupisho wa maneno matatu ya kiingreza. S:-stands for Structural, A:-stands for Adjustment and P:- for Program.So, in its full form SAP ni Structural Adjustment Program.Kiufupi ni kwamba IMF na WB walifanya mabadiliko katika namna ya kutoa mikopo kwa mataifa ambayo uchumi wake ulikuwa ukipitia kipindi kigumu baada ya kutokea oil crisis,drought nadhani na fall of the USSR.
Nchi ilibidi ziwe zimekidhi vigezo vilivyowekwa ili kupatiwa mkopo.Moja ya vigezo nadhani ni kuruhusu ushindani katika nyanja za kiuchumi,kijamii and etc(I mean to end state monopoly).Kwa ufupi ni hivyo sema ukitaka kupata ufahamu zaidi, I guess you need to consult google.
Jaribu kukutana na raia wa nchi zilizokumbatia ujamaa hadi leo uone mateso wanayopitia. Nimeishi na kufanya kazi na waCuba yaani ni majuto. Wanalipwa mishahara lakini hawezi hata kutuma hela nyumbani, hela yake anabaki kuitumia huku huku. Au apitishie kwa dalali, dalali ndo aka withdraw hiyo kwa malipo fulani ndo aifikishie familia. Imagine watu wanananua mpaka tomato sauce huku tz na kutuma Cuba kupitia njia za panya.Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana
Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada
Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu
Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah
Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
Nchi hii ilianguka kiuchumi kisa ghiriba, usaliti, umamluki, vita ya kagera pia imo, external forces zililaghai viongozi wa ndani kwenye taasis na mashirika, nchi kama Kenya ilitumika na magharibi kuua uchumi wa nchi hii, na sisi tukawa na viongozi mapopoma tu, wanaiba cha ajabu wakishakufa familia zao hazina uwezo wa kustain umaridadi.Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana
Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada
Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu
Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah
Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
Saidia kudadavua kwa mifano ya components za SAP namna gani uongozi bora ungeweza kutumia SAP kama catalyst ya kukua kiuchumi.Ujamaa ulishindwa na Nyerere mwenyewe alikiri.
Ujamaa wa Nyerere aliutengeneza mwenyewe na hakuambilika juu ya namna ya kuuendesha. Ulikuwa ni Ujamaa wa kutafuta wahanga na watu wa kuwaangushia jumba bovu. Kuanzia Utaifishaji wa Mashirika na viwanda, Uanzishaji wa Vijiji vya Ujamaa, Operesheni maduka nk.
Ujamaa haukuwashirikisha Wadau Bali mtu mmoja au,kikundi cha watu ndiyo waliamua nini kifanyike. Hata pale wananchi walipoungana kuunda ushirika wao wa kijamaa walivurugwa kama ilivyotokea Ruvuma Development Association.
Sera za SAP hazikuwa mbaya na si kwamba ndiyo zimetukwamisha, zile zilikuwa sera za waliozitunga na ambao walitoa fedha. Tungekuwa na Uongozi wenye maono hiyo ingekuwa chachu ya kujikwamua zaidi.
Ujamaa haujawahi kuleta maendeleo popote pale.Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana
Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada
Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu
Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah
Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
Mwinyi yeye alifanya jambo gani la maana?Alichorithi mzee mwinyi ni madeni na wasomi wazalendo wengi kuliko kipindi Cha ukoloni
Kabla ya vita ya Kagera uchumi ulikuwa chini, tulikuwa masikini. Ukiona nchi inafilisika baada ya kupigana vita ya miezi 8 tuu basi hiyo nchi ni masikini. Na usilaumu external forces wakati Nyerere na wanamapinduzi wenzake walitumika na nchi za mashariki kama China kufanya mapinduzi Rhodesia na kuharibu uchumi wake.Nchi hii ilianguka kiuchumi kisa ghiriba, usaliti, umamluki, vita ya kagera pia imo, external forces zililaghai viongozi wa ndani kwenye taasis na mashirika, nchi kama Kenya ilitumika na magharibi kuua uchumi wa nchi hii, na sisi tukawa na viongozi mapopoma tu, wanaiba cha ajabu wakishakufa familia zao hazina uwezo wa kustain umaridadi.
Micro and Macro forces, baada ya vita ya kagera tukawa viwete, omba omba, wakiwa ule ufrontier ukakosa maana, Magufuli alilijua hili na alikuwa
Ukweli wa mambo ni kwamba ujamaa ndio ulitudumaza, tungekuwa mbali sana kama tusingepitia kwenye ujamaa.Kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kuzikumbatia sera za kipuuzi na angamivu za SAP hizi ndo zilikua kaburi kwa nchi yetu
Labda tungekomaa na ule ujamaa wa nyerere bila kupinda popote labda leo tungekua tumepiga hatua
Wenzetu China walikomaa na ujamaa na walivyopata matokeo na kufikia mahali pazuri sasa wakaruhusu ubepari sisi tulianguka mapema sana
Sasa hivi hata hatujui tupo kwenye dira gani nashindwa kujua mwelekeo wa nchi yetu kiuchumi ni aibu sana hadi leo tunategemea misaada
Sera za kishenzi za SAP ndo zimetufikisha hapa, alaaniwe aliyeasisi SAP huu ulikua ndo mwisho wa uchumi wa nchi yetu
Imagine ndo anakuambia ushushe thamani ya hela yako ambayo ilikua sawa na dola ya marekani leo hii hiyo dola ndo tunatumia kuagiza bidhaa nje yaani wanatupiga mara 2305 kwa dola moja daaah
Hii nchi sijui kama itakaa iendelee
Alirudisha uchumi kwa wananchi,akafuta foleni za unga na ukosefu wa mahitaji muhimu,Uhuru wa habari,akaanzisha TRA ili avune mapato baadae ya kuwafundisha kufanys biasharaMwinyi yeye alifanya jambo gani la maana?
TRA alianzisha Mkapa, hakuna la maana alifanyaAlirudisha uchumi kwa wananchi,akafuta foleni za unga na ukosefu wa mahitaji muhimu,Uhuru wa habari,akaanzisha TRA ili avune mapato baadae ya kuwafundisha kufanys biashara
TRA kaanzisha mwinyi,hakuanzisha mkapa,googleTRA alianzisha Mkapa, hakuna la maana alifanya
TRA alianzisha mwinyi 31/7/1995TRA alianzisha Mkapa, hakuna la maana alifanya
Hapana mkuu soma sheria iliyoanzisha TRATRA kaanzisha mwinyi,hakuanzisha mkapa,google
TRA alianzisha mwinyi 31/7/1995