Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Ntaongea kwa lugha nyepes kabisa
Hili swala la bwana kiduku na trump la kuudanganya ulimwengu,..pia hata urus na marekani au china namarekan kuendelea kudanganya ulimwengu kua wao ni rivals akat kiukwel na kiundan hakuna kitu kama hicho bali ni njia za kutengeneza pesa kupitia biashara ya silaha na mafuta sasa naona ni mbinu nzur sana ambayo hata sis as individuals tunaeza kua tunatumia njia hiz...
Baada ya uchaguz tuu,serikal ya marekan ilikua na upunguf mkubwa wa pesa,..kias kwamba ajira,biashara.mabank yalianza colapse,..nin ilikua hatma ya hvyo vyote,..well,...ni baada ya trump,kiduku,china na russia ambazo znategemeana kiuchum/kibiashara,yaan inapo colapse US bas hata china hal inakua mbaya na urus pia etc,..ilibid ichezwe move hii ya nuclear threat....mwisho wa siku Japan,south korea, ambazo ziko vzur sana kiuchum zkajikuta zikinunua silaha nzito nzito na pia silaha za kuzuia makombora kutoka marekan,..hapa US wakatengeneza billions of dollars kwa muda mfup,...na sasa uchum wa marekan unaimarika na trump anapata sifa,..na ghafla bwana kiduku katangaza kuonana na trump,hahahah
Hii move nmeipenda kwakwel,..itabid namii niwe naitumia mahala mahala fulan
Usikumwema waungwana.
Hili swala la bwana kiduku na trump la kuudanganya ulimwengu,..pia hata urus na marekani au china namarekan kuendelea kudanganya ulimwengu kua wao ni rivals akat kiukwel na kiundan hakuna kitu kama hicho bali ni njia za kutengeneza pesa kupitia biashara ya silaha na mafuta sasa naona ni mbinu nzur sana ambayo hata sis as individuals tunaeza kua tunatumia njia hiz...
Baada ya uchaguz tuu,serikal ya marekan ilikua na upunguf mkubwa wa pesa,..kias kwamba ajira,biashara.mabank yalianza colapse,..nin ilikua hatma ya hvyo vyote,..well,...ni baada ya trump,kiduku,china na russia ambazo znategemeana kiuchum/kibiashara,yaan inapo colapse US bas hata china hal inakua mbaya na urus pia etc,..ilibid ichezwe move hii ya nuclear threat....mwisho wa siku Japan,south korea, ambazo ziko vzur sana kiuchum zkajikuta zikinunua silaha nzito nzito na pia silaha za kuzuia makombora kutoka marekan,..hapa US wakatengeneza billions of dollars kwa muda mfup,...na sasa uchum wa marekan unaimarika na trump anapata sifa,..na ghafla bwana kiduku katangaza kuonana na trump,hahahah
Hii move nmeipenda kwakwel,..itabid namii niwe naitumia mahala mahala fulan
Usikumwema waungwana.