beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
liwalo na liwe naona sawa tuu walivyomtwanga huyo daktari...
Liwalo na liwe mi ndo mke wa judgement wakaanga sumu polen
Liwalo na liwe mi ndo mke wa judgement wakaanga sumu polen
liwalo na liwe STELING HAFI labda muvi ya kihindidah kweli kama cha moto kakiona...
hahaha kizuri shurti ule na mwenzako bhanaa
"liwalo na liwe" alimalizia kusema yule mnyama mwenye sura nzito!
liwalo na liwe naona sawa tuu walivyomtwanga huyo daktari...
Liwalo na liwe mi ndo mke wa judgement wakaanga sumu polen
Waoow!
Hapa sikua nimepita ku'share mada, bali nilikua najizururia mtaa hadi mtaa!
Si ndo nakuta Mama ya Boma kan'tekenya ? Na mie nimetekenyekaje?tena tekenyo lenyewe la Bby Nasty ? RIWARO NA RIWE ninahakiki naandika wills nyumba yangu ya mbezi nammilikisha.
hahaha hiyo side sijui tuipe jina gani jombaaa!
hiyo yawezwa kuitwa upande wa pili wa shilingi kumbe kama upnade mmoja ilikuwa kichwa cha Nyerere, upnde wa pili ni mwenge... ha ha ha! watu8, ulipotelea wapi wewe? au ulikula ban?
hahaha,nipo nipo tu ndugu yangu kuna kipindi hapa kati nilijipiga ban mwenyewe
Hahaaaaaa liwalo na liwe mi ndo ze top tehtehteh laaziz mefurahiiii
we kibokoliwalo na liwe lazima niimiliki kwani iliumbwa iwe yako peke yako? muone kwanza!
Hahaaaaaa liwalo na liwe mi ndo ze top tehtehteh laaziz mefurahiiii
Ma'ofa mengine naogopa kuyadeclear humu nachelea watakuroga!
Na hasa muangalie sana BT, ndiye anaeongoza kikosi cha warogi wa Chitcht.
Ni mchawi mahiri huyu.