Barackachess
Senior Member
- Sep 1, 2018
- 156
- 121
Habari,
Tungependa kujuzana vitu vya kipekee vinavyopatikana Tanzania. Tafadhari tunga sentesi inayo anzia na neno ni Tanzania pekee
Mimi ninaanza kwa kusema ni "NI TANZANIA PEKEE KUNA JAMII INAYOJULIKANA KWA JINA LA WASIOJULIKANA"
Ni Tanzania pekee tuna mlima mrefu kuliko yote barani africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tungependa kujuzana vitu vya kipekee vinavyopatikana Tanzania. Tafadhari tunga sentesi inayo anzia na neno ni Tanzania pekee
Mimi ninaanza kwa kusema ni "NI TANZANIA PEKEE KUNA JAMII INAYOJULIKANA KWA JINA LA WASIOJULIKANA"
Ni Tanzania pekee tuna mlima mrefu kuliko yote barani africa.
Sent using Jamii Forums mobile app