kauzu pipo
Member
- Nov 5, 2010
- 20
- 0
taarifa nlizopata ni kwamba raia wa tanzania wameshindwa kulala kutokana na milipuko ya mabomu huko mpakani tunduma kutokana na vurugu za uchaguzi wa zambia. Inasemekana kuwa watanzania wengi wanaoishi tunduma wako kwenye ardhi ya zambia. Mwenye taarifa zaidi atujuze.