Keneth
Senior Member
- Sep 29, 2011
- 195
- 195
Mtoto wa diwani wa CCM amekutwa amechinjwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake kwa mke mdogo mida ya saa nane mchana jana , huku house girl wake akiwa amenyongwa na waya.
Diwani aitwaye Simwilu huyo anayeishi Tunduma lakini akiongoza kata ya Nkangamo nje kidogo ya mji wa Tunduma alisema kuwa hakuwa nyumbani lakini baada ya mkewe kurudi nyumbani alikuta mtoto wake kapigwa kisu na kuachwa nyumbani kwake.
POLE SAANA DIWANI WA CCM.
Nimempenda diwani wa CHADEMA kwa kuwataka polisi kufanya uchunguzi haraka ili kiuwakamata wahusika.
Diwani aitwaye Simwilu huyo anayeishi Tunduma lakini akiongoza kata ya Nkangamo nje kidogo ya mji wa Tunduma alisema kuwa hakuwa nyumbani lakini baada ya mkewe kurudi nyumbani alikuta mtoto wake kapigwa kisu na kuachwa nyumbani kwake.
POLE SAANA DIWANI WA CCM.
Nimempenda diwani wa CHADEMA kwa kuwataka polisi kufanya uchunguzi haraka ili kiuwakamata wahusika.