Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bashite
SWISSME
Nilishajiteka muda wala hatapata shidaHahaha mjomba jiwe atakuteka
SWISSME
huu ni mwanzo tu,salamu kwa jiwe ni vigumu kuiua chadema
Mtu akiwasikiliza nyie, anaweza kudhani chadema haina wanachama tena. Chama ni itikadi, viko mioyoni mwa watu. Si mlikuwa mnasema kimekufa? Na wengi wenu mtatumbuliwa kwa kumuongezea jiwe presha na kutafuna ela za walipa kodi kununua wanachadema.Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Huyo ni mbunge jimboni kwake.!Eti oh mikutano imekatazwa. Upuuzi mtupu.
Sasa kuna ubaya gani hapo?Huyo ni mbunge jimboni kwake.!
Naona unamuenzi babu yako mzaa mama kwenye avatar yako.Wengi wao hapo wamekuja kuuza bidhaa zao tu kama karanga,ubuyu pia wengine wapo hapo ili muda uende tu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Na mtu akiwasikiliza hao chadema anaweza kudhani mikutano imekatazwa. Hakuna mtu aliyekataza mikutano.Mtu akiwasikiliza nyie, anaweza kudhani chadema haina wanachama tena. Chama ni itikadi, viko mioyoni mwa watu.
Wale waliosema mikutano ya kisiasa imekatazwa ni wapi hao? Na hicho kinachofanywa hapo ni nini?
Huo si wa jimboni kwake? Pamoja na hayo kujaribu kuuwa chama mmeshindwa.Na mtu akiwasikiliza hao chadema anaweza kudhani mikutano imekatazwa. Hakuna mtu aliyekataza mikutano.
Mshahurini lissu naye arudi jimboni kwakeHuyo ni mbunge jimboni kwake.!
Halafu ukiangalia hiyo picha wengi ni wanawake, bila shaka ile kengele ya Rais imechangia maana wao ndio waathirika wakubwa.