mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,345
- 2,769
Muwe na vichwa vyakuelewa. Kila chama kina ilani na sera zake. Huwezi chagua Rais CCM af mbunge upinzani af ukategemea hawa wawili wanaweza kushirikiana.Majimbo yotee aliyosema
Hawez leta maendeleo kwa sababu wamechagua mpinzani ilihali Anasema maendeleo hayana Chama ameshayakosa yotee
Apo tu ndo uwa anachanganya Mada
Inakuwa ngumu kushirikiana sababu huyu anatakamaendeleo ya vitu, na wale wanataka maendeleo ya watu. Hizi ni sera mbili tofauti.
Ndio maana Rais Magufuli anaomba achaguliwe wa Chama chake ili waweze kuisimamia ilani ya ccm kwa umoja na ushirikiano wa karibu.