JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,509
- 7,540
Utusaidie kuleta uzi wa kumtukuza na kumsujudia mungu mtu jiwe mtakatifu wa watakatifu mwenye mamlaka yote mikononi mwake aliyeiumba hii nchi na kila kilichomo ndani yake. Fanya hivyo tafadhali kama mmoja wa viumbe wa jiwe kuonesha utukufu wa bwana wako.kwahiyo tukusaidie nini mkuu