Ukimya wa Lissu kuhusu mapendekezo ya sheria za maliasili unamaanisha nini?

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Nashangaa sana na kimya cha Tundu lissu kuhusu mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za maliasili zetu ambayo kwa sasa wadau mbalimbali wamealikwa kutolea mapendekezo yao.

Lissu yupo active sana kwenye kukosoa au kutoa maoni kuhusu sheria..mpaka muda huu sijaona waraka wake na najiuliza maswali mengi.

Je lissu anategea tukosee?

Je lissu anasubiri maelekezo kutoka acacia?

Je lissu amekosa hoja ya kupendekeza?

Je lissu anamuogopa mwalimu wake?

Je lissu anadhihirisha uanasiasa wake wa kutubugudhi kwa kelele?

Hii ni fursa kwa kila mdau kupendekeza ni kipi hasa kinahitajika kwenye sheria ili tukomeshe wizi.

Baada ya hapa tusisikie kelele za mtaani.

Naamini hili linalofanywa na serikali halikuwahi kufanyika hivyo ni fursa adhimu ambayo tunaweza tusiipate kwa miaka mingi ijayo.
 
Lissu sio kama Msukuma.Anapitia mambo kiundani ndo maana akija kuongea ni kama nabii maana warning zake zinatokea Nasikia sheria za hati ya dharura hazitumiki kwa migodi ya zamani. Sasa ukiuliza kwanini hati ya dharura wote wanageuka kusema sio mzalendo
 
Nashangaa sana na kimya cha Tundu lissu kuhusu mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za maliasili zetu ambayo kwa sasa wadau mbalimbali wamealikwa kutolea mapendekezo yao.

Lissu yupo active sana kwenye kukosoa au kutoa maoni kuhusu sheria..mpaka muda huu sijaona waraka wake na najiuliza maswali mengi.

Je lissu anategea tukosee?

Je lissu anasubiri maelekezo kutoka acacia?

Je lissu amekosa hoja ya kupendekeza?

Je lissu anamuogopa mwalimu wake?

Je lissu anadhihirisha uanasiasa wake wa kutubugudhi kwa kelele?

Hii ni fursa kwa kila mdau kupendekeza ni kipi hasa kinahitajika kwenye sheria ili tukomeshe wizi.

Baada ya hapa tusisikie kelele za mtaani.

Naamini hili linalofanywa na serikali halikuwahi kufanyika hivyo ni fursa adhimu ambayo tunaweza tusiipate kwa miaka mingi ijayo.
Ana machungu ya kuharibiwa dili la kutetea Wazungu Wezi.
 
Akirudi hapa mtakimbiana na kusema katumwa.
Hakuna mantiki ya kutukimbiza ...kinachohitajiwa kwa sasa kama Taifa ni maoni ambayo yatasongesha nchi mbele...tumepewa na tumepata fursa ya kufanya hivyo...tusiendekeze ushindani wa kisiasa usio na maslahi kwa taifa.

Aje na kutia maoni yake ...nimeshuhudia hata mtuhumiwa chenge akitoa maoni.
 
Nashangaa sana na kimya cha Tundu lissu kuhusu mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za maliasili zetu ambayo kwa sasa wadau mbalimbali wamealikwa kutolea mapendekezo yao.

Lissu yupo active sana kwenye kukosoa au kutoa maoni kuhusu sheria..mpaka muda huu sijaona waraka wake na najiuliza maswali mengi.

Je lissu anategea tukosee?

Je lissu anasubiri maelekezo kutoka acacia?

Je lissu amekosa hoja ya kupendekeza?

Je lissu anamuogopa mwalimu wake?

Je lissu anadhihirisha uanasiasa wake wa kutubugudhi kwa kelele?

Hii ni fursa kwa kila mdau kupendekeza ni kipi hasa kinahitajika kwenye sheria ili tukomeshe wizi.

Baada ya hapa tusisikie kelele za mtaani.

Naamini hili linalofanywa na serikali halikuwahi kufanyika hivyo ni fursa adhimu ambayo tunaweza tusiipate kwa miaka mingi ijayo.
Anatumia uhuru wake vizuri kikatiba. Tanzania ni kubwa kuliko individuals
 
Hakuna mantiki ya kutukimbiza ...kinachohitajiwa kwa sasa kama Taifa ni maoni ambayo yatasongesha nchi mbele...tumepewa na tumepata fursa ya kufanya hivyo...tusiendekeze ushindani wa kisiasa usio na maslahi kwa taifa.

Aje na kutia maoni yake ...nimeshuhudia hata mtuhumiwa chenge akitoa maoni.
Nasikia muswada wa sheria unapendekeza kuwa mikataba ijadiliwe bungeni baada ya kusainiwa. Ni kweli?
 
Ushauri alishautoa kitambo n'a bado mmeshindwa kuutumia...
Leo mnajitia wazalendo wenye uchungu na rasilimali za nchi ilhali juzi mlikuwa mstari wa mbele kupitisha sheria zinazotuumiza leo hii.

Na mkumbuke pia, sheria hizo hazitagusa mikataba iliyokwisha sainiwa kabla yake,na hakuna dalili ya nia ya ku'review mikataba...Tutaendelea kuibiwa vile vile
 
Hakuna mantiki ya kutukimbiza ...kinachohitajiwa kwa sasa kama Taifa ni maoni ambayo yatasongesha nchi mbele...tumepewa na tumepata fursa ya kufanya hivyo...tusiendekeze ushindani wa kisiasa usio na maslahi kwa taifa.

Aje na kutia maoni yake ...nimeshuhudia hata mtuhumiwa chenge akitoa maoni.

Hapo mnakusanya maoni au mnachora watu ili ionekane mlishirikisha watu? Lengo lenu limeshaonekana na hakuna nia njema kama mnavyotaka watu waamini. Sasa subiri kwanza watu wapitie kifungu kwa kifungu cha hiyo sheria yenu kisha watu waje na mapendekezo ya uhakika hapo ndo tutajua mnasimamia nchi au maslahi ya chama.
 
Back
Top Bottom