OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,702
- Thread starter
- #21
tatizo hapa kuna watu wapo tayari kuliwa mpaka kucha, ndio maana mnatusisitiza tuendelee kunyenyekea haki zetu, kwa kuwa TL na Lema hawaombi bali wanadai wewe unadhani wanapayuka, They are making necessary noiseLisu kwa upande nae anapaswa kuacha jazba na kuropokaropoka yeye kama mwanasheria lazima ajitahdi kuwa na lugha za kistaarabu na za kidiplomasia zaidi na sio jazba za hovyo zinamshusha hadhi yake, asiwe kama akina Lema [mbumbumbu]wa Arusha anayewaza vurugu kila kukicha.