Labda hapo atakaporuhusiwa mgombea binafsihata wewe jomba acha kujifichaficha kwa wengine, auutaki uraisi wewe? ona uvyojichekea kimoyomoyo, eti na wewe uwe raisi .....duh, lisu nae awe raisi.duh
hongera.mwenye.nchi kwa kufukuza wengine, sidhani hata kiwanja.kama unacho, ila na kwa hilo pia hongera unashahili kuwa hivyoLissu ndiye rais wako ajaye hutaki hama nchi urudi kwenu Burundi
ULEMAVU HAKUZALIWA NAO, KUWA MAKINI NA VICHEKO VYAKOkwa kweli maana najaribu kufikiri namna atakavyokagua gwaride na magongo nakosa jibu naishia kucheka tu.
Lissu kaamua kutuongoza watanzania ni bahati iliyoje? View attachment 1486572
wapi nimesema kazaliwa nao?ULEMAVU HAKUZALIWA NAO, KUWA MAKINI NA VICHEKO VYAKO
Eti tuwape nchi bhange nyingine za kuvutia chooni kwa shemeji ni shida sana.Labda apewe uraisi wa Yanga chama ambacho kimeshindwa kujenga hata ofisi ya chama leo wanataka tuwape nchi waijenge!!!?
ndio namiliki nchi kwani unasemaje?Eti tuwape nchi bhange nyingine za kuvutia chooni kwa shemeji ni shida sana.
Wewe ndiyo mmiliki wa hii nchi?
rais wa manzese ?Lissu ndiye rais wako ajaye hutaki hama nchi urudi kwenu Burundi