Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,555
- 31,876
Mpumbavu ni nani?
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazungu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba Jumuiya ya Kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazungu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba Jumuiya ya Kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.