Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Mpaka leo wamebaki na shida zaoKama hasira ya wazungu ni hiyo ardhi, mbona haikuwaendeleza hao Wazimbabwe baaada ya kuwapora wazungu?
Mpaka leo wamebaki na shida zaoKama hasira ya wazungu ni hiyo ardhi, mbona haikuwaendeleza hao Wazimbabwe baaada ya kuwapora wazungu?
Shida hayo yanayoonekana ni matatizo ya ndani ya kisiasa wakati wengine wanatumia misingi ya hoja kufikish concerns zao WENGINE WANATUMIA MITUTU YA BUNDUKI ZA KIVITA halafu mwenye hoja anapotambua anaweza kuzitoa hata akiwa umbali mrefu, yule mwingine anamshinikiza aje karibu ili waendelee na mchakato ulipoishia ..TULIPIGANIA uhuru ili tuweze kujitawala na kufanya maamuzi yetu binafsi kama taifa bila kuingiliwa.
Kama ni matatizo ya kisiasa tunapaswa kuyamaliza sisi wenyewe sio mambo ya kaka nipigie.
Marekani hakuna udhalimu, dhulma, uvunjifu wa Haki? Nani anawawekea vikwazo vya kiuchumi?
Unatamani kunena kitu kilichomo moyoni mwako ila unasita. Donor country inaogopa vikwazo? Tazama North Korea, Iran nk. Wamewekewa vikwazo lakini wanafanya maajabu.TULIPIGANIA uhuru ili tuweze kujitawala na kufanya maamuzi yetu binafsi kama taifa bila kuingiliwa.
Kama ni matatizo ya kisiasa tunapaswa kuyamaliza sisi wenyewe sio mambo ya kaka nipigie.
Marekani hakuna udhalimu, dhulma, uvunjifu wa Haki? Nani anawawekea vikwazo vya kiuchumi?
Nitajie nchi amabayo umefanikiwa kwa hii njia ya Tundu Lissu.Shida hayo yanayoonekana ni matatizo ya ndani ya kisiasa wakati wengine wanatumia misingi ya hoja kufikish concerns zao WENGINE WANATUMIA MITUTU YA BUNDUKI ZA KIVITA halafu mwenye hoja anapotambua anaweza kuzitoa hata akiwa umbali mrefu, yule mwingine anamshinikiza aje karibu ili waendelee na mchakato ulipoishia ..
Pathetic
Na hiv vikwazo havitomfanya Mama Mkwe na waandamiz wake wakose mshahara wala ccm na cdm wakose ruzuku HV vikwazo vitatufanya sis wa chini tuendelee kuongezewa tozo mbalimbali ili kudhamin mirad na mambo mengine ya kijamii na hapo ndipo huyu Tundu ninapomchukulia km wanasiasa wengine maslah yake ndio kipaumbele sisi anatuchukulia km nyenzo ya kufanikisha malengo yakeMpumbavu ni nani?
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazngu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba jumuiya ya kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.
Nitajie nchi amabayo umefanikiwa kwa hii njia ya Tundu Lissu.
We muache tu tunamsubiri tu 2025 aje mimacho imemtoka anataka urais,atajua kilichokunja mkia wa mbwa.Mpumbavu ni nani?
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazungu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba Jumuiya ya Kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.
Mbona hasira!!!!Mkuu,
Weww ndiyo mpumpavu,
Miezi minne iliyopita mlikuwa mnaahangilia na kusema Tanzania ni Donorconty /sisi ni matajiri tutembee kifua mbele hatuhitaji misaada kutoka kwa MABEBERU,
Leo umesha sahau,Sasa hapo mpumbavu ni Nani ka siyo wewe?
HUYU NAYE ANAHANGAIKA NA NINI SIJUI HUKO ALIKO SI ATULIE TU KELELE ZA NINIWATU SASA HIVI TUNAKULA MAISHA SAFIIIIIII NA MAMA YETUMpumbavu ni nani?
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazungu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba Jumuiya ya Kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.
ANAFIKIRI IKUNGI IKO NJE YA TANZANIA HUYU CHIZIWe
We muache tu tunamsubiri tu 2025 aje mimacho imemtoka anataka urais,atajua kilichokunja mkia wa mbwa.
Yaani anafikiri vyikwazo watamuumiza Samia,kumbe ni Bibi yake wa Ikungi ndiye atayeumia.
anadeka kwa wazungu utafikiri dem, siku ile alideka kweli kwa balozo wa ujerumani tena mwanamke, anasindikizwa na kushikwa mgongoni kama dem. anakunywa bia huko lakini anataka wenzeka aliowaacha hapa wapewe vikwazo.Mpumbavu ni nani?
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazungu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba Jumuiya ya Kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.
HAJUI NA IKUNGI NI TZ NA KULE KUNA BIBI ZAKE SHANGAZIZAKE WATAKULA UDONGO WE MWACHE TU MAMA KAZAAAAAAAAAAAAanadeka kwa wazungu utafikiri dem, siku ile alideka kweli kwa balozo wa ujerumani tena mwanamke, anasindikizwa na kushikwa mgongoni kama dem. anakunywa bia huko lakini anataka wenzeka aliowaacha hapa wapewe vikwazo.
na ikungi kuna maisha magumuuu, ndo wanakula mtama na uwele, masikini balaa. yeye anabwia bia tu na kutaka wananchi wake wawekewe vikwazo kisa amekosa cheo.HAJUI NA IKUNGI NI TZ NA KULE KUNA BIBI ZAKE SHANGAZIZAKE WATAKULA UDONGO WE MWACHE TU MAMA KAZAAAAAAAAAAAA
HALAFU MUMPE NCHI MTU KAMA HUYU ?na ikungi kuna maisha magumuuu, ndo wanakula mtama na uwele, masikini balaa. yeye anabwia bia tu na kutaka wananchi wake wawekewe vikwazo kisa amekosa cheo.
Yeye anakula mishkaki alafu anamwambia mbowe asiombe dhamana,Ndugu yangu ritz,kwani umesahau kuwa sisi ni matajiri,na kuwa tunatakiwa tutembee kifua mberee, na kuwa pia ni donor country, sasa nini Tena tunalialia kutembeza bakuli na kuwalaumu wengine?
Inabidi apige kelele wajuwe yupo, hao homosexuality wenzake wamupe rupiaMpumbavu ni nani?
Ni Mtanzania anayeshangilia Tundu Lissu aliyepo nje ya nchi anakula posho wazungu Ulaya halafu huyo anataka Tanzania wasipewe misaada kutoka Ulaya. Anaomba Jumuiya ya Kimataifa na nchi wafadhili waiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi na kuzuia misaada.
Lissu angekuwa wa maana angekuja Kuishi Tanzania kisha toa haya matamko yako upo Ulaya na familia yako unataka Watanzamia tupate vikwazo.