Tundu Lissu: Wamilili wa Online Tv walipwe fidia, waliozifungia wachukuliwe hatua, maana Rais amesema zilifungia kimakosa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,568
Huu ni ukweli mtupu, mwanasheria nguli na mgombea urais wa JMT kupitia Chadema anasema kweli tupu. Kama hawakuwa na makosa walipwe fidia na walioshiriki kuzifungia bila makosa wachukuliwe hatua.

Lissu1.JPG
 
Wezi waliopora pesa bureau de change kwa kigezo cha uhakiki wabanwe warejeshe fedha ccctv camera za kwenye maduka si wanaonekana.
 
Back
Top Bottom