Wazazi wengine hatusomi alama za nyakati. Mtoto hafanyi vizuri tangu akiwa form 1 unajipa matumaini kwamba ataimprove, form two mambo yaleyale, bado unasubiria improvement (bila kufanya chochote) - form 3 hivyohivyo. Je kuna chochote kitarajiwe form 4?
Serikali nayo ni hovyo pia. Watoto wanahitimu std 7 bila kujua kusoma na kuandika, lakini tunaambiwa wamefaulu.Wanamaliza form 1 bila walimu, vitabu, madawati wala maabara, hatushtuki. Ingawa mtihani wa form 2 hauzuii kwenda form 3, lakini upo. Hivyo hali mbaya kielimu inaonekana. Sasa tutarajie nini form 4 kama taifa? Nadhani ni mass failure kama ilivyo sasa.
Nilimshauri mzazi mmoja ambaye mtoto wake yuko form 2 shule ya kata amhamishie private school, akasema kwa vile mtoto hasikii 'ana kibri' anasubiri amalize form 4 afeli ili 'apate fundisho'. Anasahau kuwa fundisho la kufeli ni kwa mzazi pia.
Kagera kuna msemo kuwa 'enyampisa ekiniga ______'
Serikali nayo ni hovyo pia. Watoto wanahitimu std 7 bila kujua kusoma na kuandika, lakini tunaambiwa wamefaulu.Wanamaliza form 1 bila walimu, vitabu, madawati wala maabara, hatushtuki. Ingawa mtihani wa form 2 hauzuii kwenda form 3, lakini upo. Hivyo hali mbaya kielimu inaonekana. Sasa tutarajie nini form 4 kama taifa? Nadhani ni mass failure kama ilivyo sasa.
Nilimshauri mzazi mmoja ambaye mtoto wake yuko form 2 shule ya kata amhamishie private school, akasema kwa vile mtoto hasikii 'ana kibri' anasubiri amalize form 4 afeli ili 'apate fundisho'. Anasahau kuwa fundisho la kufeli ni kwa mzazi pia.
Kagera kuna msemo kuwa 'enyampisa ekiniga ______'