My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Shetani ni yule aliyetoa amri Lissu auawe kwa risasi kisha Shetani akashindwa kwa Damu ya Yesu, Ufunuo wa Yohana 12:11.kote huko ili kuruhusu ushoga tu.lisu anatumiwa na shetani moja kwa moja
Nyie ni wajinga hasa, mnajibu Hoja kwa risasi, mmekosa point mmekalia kuropaka ushoga, sasa mtakiona cha Moto, CIA ipo kazini kuwanyoosha.
Mmejichanganya kujipendekeza kwa Israel wakati mnayaunga mkono magaidi ya kipalestina Mossad nao wamepata upenyo.
Mtakuja kushtuka mnapigwa kila sehemu, muulizeni Laurent Gagbo alidhani kukaa ikulu ndo kaimaliza Dunia
Sent using Jamii Forums mobile app