blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,092
- 7,468
Mbona wazee wachama ccm hawaonekani huoni kama mzee kasusiwa?
Wengine ni 1.5 trilioni za kupora ukichanganya na rambirambi za wafiwa na dili ya kiwanja cha ndege.Mpunga toka kwa beberu, kama 2015 waliuza
Yaani nchi hii kila mtu ana mwogopa Magufuli ksipokuwa Tundu Lissu peke yake.Chadema kabla ya kurejea Lisu ilikuwa imejaa hofu na kukata tamaa. Lisu ameleta ujasiri na ndiyo maana anapata mapokezi ya nguvu Sana.
Bila Lisu, Magufuli angeacha kupiga kampeni maana alikuwa ameshafanikiwa kuwatisha viongozi wote wa Chadema.
Dakika za mwisho kabisa Mbowe akavunjwa mguu na kumpakazia kuwa alilewa.
Yaani aache kampeni kwenye jimbo lake aje aungane na mtu aliyeonesha uwezo mkubwa kumzidi Magufuli? Unaumwa mavi wewe!Mbowe ana hasira sana mwaka huu hela zimemtoka sana! Matajiri na wafadhili wao wa nje hawajawapa mahela mwaka huu! Ndio maana unaona Mbowe kanuna sana kaona bora aende kupigania ubunge.
Hili silielewi kwa miaka takribani mitatu Lissu alikuwa mgonjwa nje ya nchi na amerudi siku chache kabla ya uchaguzi. Ni wazi kimantiki kuwa kama chama kimepelekwa kwa wananchi kila kona ya nchi hii ni wengine waliofanya kazi hii.Well done Lissu, kwa kuwaonyesha viongozi wa juu Chadema, kuwa umefanikiwa kukipeleka chama kwa wananchi kila kona ya nchi hii.
Kampeni sio jukwaani mkuu. Huyo Mbowe unayejaribu kumzodoa hapa ndio anayepambana kutafuta mianya ya pesa kwa ajili ya Lissu sio tu kwenye kampeni ila toka yupo mahututi Nairobi.Sawa
Dj farujohn in the mixHahahaha! Hana haja ya kukanusha uwongo
Pamoja na figisu zenu zote mambo yanazidi kunoga tuHela ya kampeni tu hadi watembeze bakuri hela za kufund uwepo wa viongozi wa chama eneo moja kwa mara moja watazitoa wapi?
..Mwenyekiti wa Cdm anagombea ubunge...
Hali ni ngumu site kamanda
Duh.. Kwani nae kawa Mange?Lissu kanipiga block twitter hata sielewi kosa languView attachment 1599876
Wewe ni kidagaa tu hapo ufipa huelewi A wala BYaani aache kampeni kwenye jimbo lake aje aungane na mtu aliyeonesha uwezo mkubwa kumzidi Magufuli? Unaumwa mavi wewe!
Lissu kanipiga block twitter hata sielewi kosa languView attachment 1599876