Mzee Busara
Senior Member
- Feb 29, 2008
- 113
- 19
" Chloroquine ni Chungu lakini ni Dawa"
Kwa hiyo kama ni wabishi hatuhitaji mabadiliko"Kwa hiyo unaridhika na hali tete ya nchi ilivyo chini ya Uongozi wa CCM? Kwa hiyo kama Tindu hakuwepo kwenye kikao mabadiliko muhimu ya Katiba hayawezi mpaka awepo yeye?Naona unaongea kama vile umetoka kuanguka kwenye mti.
Tundu Lissu alimdaka akiwa anaanguka kwenye mti hakufika chini ndio maana anaweza kujenga hoja za nguvu mimi naona yuko salama ila wewe ni kama umeibukia kusikojulikana