Unafiki anaoutaja Kipara kipya ni upi sasa?Ni kukubali au kushabikia Jambo ambalo unajua fika kabisa kua halina tija ila unalihalalisha mbele za watu ila moyoni ukweli unaujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naongia ibadani kwa sasa naomba tufunge mjadala asubuh njemaUnafiki anaoutaja Kipara kipya ni upi sasa?
Sawa. Utuombee na sisiMkuu naongia ibadani kwa sasa naomba tufunge mjadala asubuh njema
Sent using Jamii Forums mobile app
JamaicaHivi Raisi anatumia kilevi?
Amekwishaliongelea mahali fulani katika ziara hii inayoendelea , nimemsikia , labda tumwelekeze kwamba aliseme mara kwa mara ili lieleweke zaidiHaya mambo ndiyo ya kumkumbusha. nadhani Mwanahabari huru anaweza akaufikisha ujumbe huu. This is extremely important to indict somebody with mass murder! Mwanahabari Huru