Ndiyo. Bila kumshabikia, anasema kuwa Rais hatakiwi kuwa na madaraka yote ya kuamua kuhusu maendeleo ya wilaya au jimbo. Akiwa mbaguzi ataumiza wengine. Anasema pia kwamba wakuu wa mikoa, wilaya na ma DED, walio na madaraka makubwa ya kila siku kwa wananchi, wapigiwe kura na wananchi ili wawajibike kwao. Ndiyo maana ya majimbo. Na hajakataza tozo kwa mazao yatakayouzwa nje. Wewe usiingie mkumbo wa kugombana humu. Ulileta hoja humu, shiriki namna hii kuzijadiliJibu hoja iliyopo mezani,Lissu anafaa kuwa rais? Na hoja mfu anazozitoa kama kuleta serikali ya majimbo na kuruhusu kuuza mazao nje holela? Sio unaleta pumba.