Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ulipaswa ugombee tena ubunge, kugombea Urais umepwaya sana

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Kama kuna kosa la kisiasa ambalo Lissu amelifanya ni kugombea urais mwaka huu,japokuwa ni haki yake ya kikatiba kugombea hiyo nafasi lakini ni kweli kuwa hiyo nafasi tayari inaonyesha amepwaya.

Hoja unazozitoa majukwaani,tayari zinaonyesha kuwa ulikurupuka kuchukua uamuzi wa kugombea urais,au mwenyekiti wa Chadema alikubwagia mzigo mzito uubebe ili hali akijua kuwa huwezi kuubeba.

Umezunguka sehemu mbalimbali na kila unapokuwa majukwaani watu wanakufuatilia,na wanashangazwa kwa nafasi nyeti kama hii ya urais na hoja ambazo umekuwa ukizitoa. Mfano ulikuwa mtwara,ukasema utaruhusu wakulima kuuza korosho nchi yoyote wanayotaka. Yaani wakivusha wakapeleka msumbiji sawa,Comoro sawa, je hujui hapa taifa linapoteza mapato yanayopatikana na Cashewnut export levy? Sasa wewe ni rais gani utayeruhusu serikali yako ikose mapato?

Hii la kuigawa nchi kwenye majimbo je ulipima uzito wake? Na ugumu wake? Mbon unaliropoka kiasi cha kuwakatisha tamaa watanzania! Mbali na hayo umekuwa ukituhumu kuwa miradi mingi inayotekelezwa na CCM imejaa ufisadi,je hili sisi kama watanzania ambao hatuna uwezo wa kupata ukweli juu ya hizi tuhuma unaweza kuthibitisha vipi? Mfano unasema mradi wa JNHPP unajengwa kwa dola bil 11, tena kwa mkopo wa mabenki ya Misri, unaweza kuthibitisha haya? Hii ni dhahiri uligombea nafasi nzito ambayo haipatikani kwa hoja za kizushi au zisizo na mashiko.

Lakini kama ungerudi kwenye jimbo ambalo ulishinda hapo awali,jimbo la Singida Mashariki, Lissu ulikuwa na uhakika wa kushinda kwa 100%. Na hapa zile kura za huruma toka kwa ndugu,jirani na wazee wa Ikungi ungezipata kwa urahisi mno. Lakini najua chama chako kina kiongozi mnafiki na huyu ndie amekuingiza mkenge ugombee urais huku akijua huwezi kushinda.

Hii kwako ilikuwa nafasi kurudi bungeni na kuendeleza harakati zako za kutetea wananchi. Na nina uhakika safari hii ungerudi bungeni pangewaka moto.
 
Screenshot_20200925-191626.jpg
 
Kama kuna kosa la kisiasa ambalo Lissu amelifanya ni kugombea urais mwaka huu,japokuwa ni haki yake ya kikatiba kugombea hiyo nafasi lakini ni kweli kuwa hiyo nafasi tayari inaonyesha amepwaya.

Hoja unazozitoa majukwaani,tayari zinaonyesha kuwa ulikurupuka kuchukua uamuzi wa kugombea urais,au mwenyekiti wa Chadema alikubwagia mzigo mzito uubebe ili hali akijua kuwa huwezi kuubeba.

Umezunguka sehemu mbalimbali na kila unapokuwa majukwaani watu wanakufuatilia,na wanashangazwa kwa nafasi nyeti kama hii ya urais na hoja ambazo umekuwa ukizitoa. Mfano ulikuwa mtwara,ukasema utaruhusu wakulima kuuza korosho nchi yoyote wanayotaka. Yaani wakivusha wakapeleka msumbiji sawa,Comoro sawa, je hujui hapa taifa linapoteza mapato yanayopatikana na Cashewnut export levy? Sasa wewe ni rais gani utayeruhusu serikali yako ikose mapato? Hii la kuigawa nchi kwenye majimbo je ulipima uzito wake? Na ugumu wake? Mbon unaliropoka kiasi cha kuwakatisha tamaa watanzania! Mbali na hayo umekuwa ukituhumu kuwa miradi mingi inayotekelezwa na Ccm imejaa ufisadi,je hili sisi kama watanzania ambao hatuna uwezo wa kupata ukweli juu ya hizi tuhuma unaweza kuthibitisha vipi? Mfano unasema mradi wa JNHPP unajengwa kwa dola bil 11, tena kwa mkopo wa mabenki ya Misri, unaweza kuthibitisha haya? Hii ni dhahiri uligombea nafasi nzito ambayo haipatikani kwa hoja za kizushi au zisizo na mashiko.

Lakini kama ungerudi kwenye jimbo ambalo ulishinda hapo awali,jimbo la Singida Mashariki, Lissu ulikuwa na uhakika wa kushinda kwa 100%. Na hapa zile kura za huruma toka kwa ndugu,jirani na wazee wa Ikungi ungezipata kwa urahisi mno. Lakini najua chama chako kina kiongozi mnafiki na huyu ndie amekuingiza mkenge ugombee urais huku akijua huwezi kushinda.

Hii kwako ilikuwa nafasi kurudi bungeni na kuendeleza harakati zako za kutetea wananchi. Na nina uhakika safari hii ungerudi bungeni pangewaka moto.
Urais hauna shule chuo Urais ni taasisi kama mtukufu asiye na staha uvumilivu muonevu kaweza kuwa Rais sembuse Lisu mwenye ujuzi wa haki za binadamu
 
Mkuu kama mgombea wa Cdm hata Dsm hana influence unategemea nini? Au unataka kuleta ubishi wa kwenye kahawa. Na nani amekulazimisha usome hili andiko.
Wewe ndiyo una ubishi usio na tija kwa kulazimisha vigezo vyako vya kolomije viwe Sheria
 
Tumia akili sio unakurupuka kujibu tu,kama ataruhusu watu kuuza mazao nje hovyo kama korosho anafaa kuwa rais huyu?
Wewe ndiyo utumie Akili badala ya kukariri ulivyotumwa na kubwa jinga Le mutuz na cyprian Musiba, hii mifano yako ya korosho ujue CCM mmefeli sana kwenye korosho mpaka kuwapeleka wanajeshi kwenye kuwatisha wakulima wa korosho matokeo yake wananchi wamefirisika nyumba mali zao kuchukuliwa na Bank kwa kushindwa kurejesha mkopo .
 
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho naona Bangi zimekukolea oga panda kitandani upakatwe ulale uendelee kukariri ujinga hapo gheto kwa cyprian Musiba
Jibu hoja iliyopo mezani,Lissu anafaa kuwa rais? Na hoja mfu anazozitoa kama kuleta serikali ya majimbo na kuruhusu kuuza mazao nje holela? Sio unaleta pumba.
 
Mpinzani gani anaogopwa? Lissu ameachwa anaropoka hovyo,anavunja sheria za nchi. Maana wanajua hana lokote. Ndio useme anaogopwa? Anasema rais ni mwizi, anao ushahidi?
Sheria zipi kavunja? Ushahidi upewe wewe fala mbumbumbu kilaza juha? Akili yenyewe huna unawezaje kujua aliyeropoka? Umevuta Bangi mpaka umejitoa fahamu zote sasa unaandika ujinga mtupu
 
Jibu hoja iliyopo mezani,Lissu anafaa kuwa rais? Na hoja mfu anazozitoa kama kuleta serikali ya majimbo na kuruhusu kuuza mazao nje holela? Sio unaleta pumba.
Serikali za majimbo zipo America , German, China, South Africa, India sehemu nyingi Duniani hata jirani kenya hutumia Serikali za majimbo hazina ubaya wowote tena huharakisha maendeleo kwa kasi zaidi ya mfumo huu wa kikoloni uliopo sasa
 
Sheria zipi kavunja? Ushahidi upewe wewe fala mbumbumbu kilaza juha? Akili yenyewe huna unawezaje kujua aliyeropoka? Umevuta Bangi mpaka umejitoa fahamu zote sasa unaandika ujinga mtupu
Huo wizi aliofanya Magufuli,anao ushahidi,aweke hata kwenye magazeti. Hao waliotaka kumuua Ansbert Ngurumo awataje kwenye magazeti. Sio kuropoka hovyo majukwaani.
 
Nchi ina miaka zaidi 59 sasa hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo zinatumika kudidimiza demokrasia, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa yote mikubwa Duniani na ingawa na kura ya veto.
 
Huo wizi aliofanya Magufuli,anao ushahidi,aweke hata kwenye magazeti. Hao waliotaka kumuua Ansbert Ngurumo awataje kwenye magazeti. Sio kuropoka hovyo majukwaani.
Ushahidi upo lakini wewe tayari haupo tayari kupokea ushahidi kwani tayari umekariri kuwa kila anayefichua ufisadi wenu anaropoka, nani akuletee wewe ushahidi? Watapewa wenye Akili timamu kuliko wewe
 
Nchi ina miaka zaidi 59 sasa hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo zinatumika kudidimiza demokrasia, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko mataifa yote mikubwa Duniani na ingawa na kura ya veto.
Hakuna maendeleo ungekuwa unapita kwenye barabara za rami zilizojengwa na Ccm?, Ungekuwa unapata umeme wa uhakika, ungepata huduma ya afya kama unavyopata sasa hivi?
 
Back
Top Bottom