Tundu Lissu: Tutayajua mengi sana endapo Mh. Nassari atafungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kufutiwa Ubunge, kama ambavyo nimemshauri

Kupiga kura ya ndiyo au hapana ni mojawapo ya kazi za mbunge bungeni si kuongea tu

Seriously uende kupiga kura ya ndio au hapana kisha uchukue sitting allowance ya 200,000, na bado uone ni sahihi mtu kulipwa hela ya hivyo!? Hiyo hata mtoto mdogo si anaweza kwenda kuweka ndio au hapana.
 
Chadema kazi kuhubiri utawala wa sheria huku hamuwezi kabisa kufuata hata tone la utawala wa sheria wala democrasia.

Hauendi bungeni miezi mitatu unajirusha na mademu Ulaya unategemea nini?.

Sheria ni msumeno

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ndio mnafuata utawala wa sheria? unasemaje kuhusu chattle international airport iliyojengwa bila gharama kuidhinishwa na bunge?
 
Pamoja na mapungufu yake lakini Tundu Antipas Lisu ana uwezo mkubwa wa kiakili.

Bunge kama sehemu ya kutunga sheria linapaswa kuwa makini kwa kila jambo, binafsi namkubali sana mzee Chenge na yule Zungu wale Nassari wangemchukulia poa tu.

Yaani tukarudie uchaguzi kwa gharama kubwa kisa Joshua alikuwa anamuuguza mkewe so hakufika bungeni?!!
sema YOSHUA alikuwa anakuuguza wewe. napata wasiwasi ni kwa nini leo unamuunga mkono mwana CHADEMA wakati sio kawaida yako? mbona ulikuwa unafurahia Lissu kupigwa risasi pamoja na kunyimwa stahiki zake ikiwamo matibabu na mshahara wake? leo imekuwaje? pole sana bibie
 
LEO NIMEMCHANGIA NDUGU YANGU KAKA YANGU TUNDU AM LISSU MOYO WANGU UMETULIA NA MAPIGO YA MOYO YANAKWENDA MORORO KABYSA NA KILA MWEZI NITAFANYA HIVYO KWANI HUYU NDIYE MWOKOZI WA NCHI HII AFU NAMPENDA LISSU ILE MBAYA MAANA NIKIMSIKIA MTU ANAMSEMA VIBAYA HUWA NATAMANI NIMLE AIRTEL NA VODA KAMA SIYO KUMFUMUA MFEREJI WA SUEZI HUU MWAKA KUNA JITU LITAJINYONGA KIUKWELI NIKIAMBIWA NIMPENDE BASHITE KAMA NINAVYOMPENDA LISSU NI BORA NIKAFUNGWE MIAKA 100 NA KAZI NGUMU KILA SIKU HUKO JELA
 
Jambo la tatu ni la utaratibu wa uamuzi wenyewe. Spika Ndugai hajamuandikia au kuwasiliana kwa namna yoyote ile na Mh. Nassari ili kumjulisha juu ya hatua anazotaka kumchukulia kwa kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge.
Ni kweli kwamba ibara ya 71 ya Katiba haijaweka utaratibu wa Spika kumwandikia au kumjulisha Mbunge juu ya hatua anazopanga kumchukulia kwa kutohudhuria mikutano ya Bunge.
Yaani mwanasheria msomi anataka spika ndiyo amuandikie mtoro kuhusu utoro wa mtoro mwenyewe?
Kwamba mtoro mwenyewe hata hajielewi siyo?
Hivi mnauchukuliaje ubunge nyie watu? Yaani wananchi wanakosa uwakilishi kwa kujisikia na sababu za kizembe tu...
 
Msimshangae huyo mgonjwa hana kazi huko Belgium kwahiyo kazi yake ni hiyo,kushinda na laptop kuandika upuuzi.
Mange Kimambi na huyu hawapishani,
Tofauti ni yule aliandika udaku huyu anaandika sheria ambayo hata yy haijui anaotea.
Ni kawaida kwa majobless wote Ulaya.

Unaweza ukakuta ww uliyeandika huu usenge umeajiriwa na mwanaume mwenzio na hapa umepost huu utoto kwa kutumia computer ya huyo mwanaume aliyekuajiri. Unaoongea kwa nyodo maana umevimba makalio kisa kila mwisho wa mwezi unapokea mshahara. Lissu sio jobless kwa taarifa yako maana hajakimbia nchi kwani yuko Ulaya kwa matibabu baada ya kushambuliwa na hao unaowaopa tundu la mbolea hapo nyuma. Kama umechoka kuchangia kwa nidhamu jiandae kukutana na lugha ambazo hutokaa uamini ww ****.
 
Nimesoma kwa makini sna hoja za lissu, nachoweza kusema ni kuwa wajibu wa Chama tawala ni kujali pia sauti za wanaowaongoza. Kama Nasari alichaguliwa kwa haki. Wanaumiaa nini kungoja kamwaka kamoja tu amalize muhula wake. Kwa nini wanadharau gharama za uchaguzi Katika nchi masikini kama hii. Makusanyo yao wnaficha sasa ilihali inajulikana wako 50 percent
 
TL sheria kama kazaliwa nayo aisee
Anajua mpaka anapitiliza yaani Mungu huyu, yeye ndio angesimama kama wakili, tungeomba kesi iamishiwe uwanja wa taifa. Kuna sehemu alinichanganya, ibara ya 71 kuwa kimya kuhusu spika kumtaarifu mbunge kabla hajamuhukumu. Nilishtuka nikajua basi Ndugai ndio aliegemea hapo basi katumaliza. Nikijapa moyo konde nikaendelea kumsoma mbobezi wa sheria. Akasema kukaa kimya hakumpi mamlaka ya kuhukumu kabla ya kumsikiliza, hiyo ni haki ya Asili ya kila mtu. Ndugai kaingia chaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaeleweka Vipi? Nassari barua yake hata haionyeshi yuko hospital gani Wala ushahidi wa refferal toka hospital ya muhimbili porojo tu Kama za Lisu Niko ubelgiji kwa matibabu hamna ushahidi wa refferal porojo tu

IMG_2736.JPG
 
Chadema kazi kuhubiri utawala wa sheria huku hamuwezi kabisa kufuata hata tone la utawala wa sheria wala democrasia.

Hauendi bungeni miezi mitatu unajirusha na mademu Ulaya unategemea nini?.

Sheria ni msumeno

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeliona hilo la kujilusha na mademu, pole maana moyo unakuuma sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom