gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Kama mbunge alitoa taarifa za kuuguza mke wake na bado anaadhibiwa kwa kufutiwa ubunge, basi viongozi wa nchi hii sana roho mbaya kama shetani.
Viongozi wa awamu hii wanakosaje utu kuliko wa awamu zingine zote zilizopita?
Katika awamu ambayo imeua watanzania wengi sana moja kwa moja au kwa njia nyingine tofauti ni hii ya 5.
Viongozi wa awamu hii wanakosaje utu kuliko wa awamu zingine zote zilizopita?
Katika awamu ambayo imeua watanzania wengi sana moja kwa moja au kwa njia nyingine tofauti ni hii ya 5.