PRODA LTD
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,005
- 1,333
Tumesahau kutofautisha kati ya mfu na mgonjwa mahututi tulio wengi ni wafu hivyo tutaburuzwa mpaka basi tungekuwa mahututi tungestuka pia Mpiga kura ujisahau kuwa yeye ni muajiri anaweza Fanya lolote sisi tumeshamezeshwa Maneno eti Nchi haijaribiwi