Tusikilize mawazo ya Lissu.Kama yana mashiko tuyafate.Hili suala ni la kitaifa.Tukifanikiwa katika hili watanzania wote tutakula bata.Lissu hana JIPYA
Hii akili huwezi kuipata huko CCM.
Hata walipokua wanatoka bungeni kupinga miswada ya madini na gas kuingia kwa hati ya dharula, mliwabeza na kuwatukana.Lissu hana JIPYA
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameibuka na kuishauri serikali jambo la kufanya kutokana na matokeo ya uchunguzi wa mchanga wa madini uliofanywa na kamati ilyoundwa na Rais John Magufuli.
Tundu Lissu
Tundu Lissu anasema Tanzania ni mwanachama wa 'The MIGA Convention' hivyo ukiwa mwanachama ukachukua mali za wawekezaji wao utapelekwa kwenye mahakama za kimataifa na kwenda kushughulikiwa huko, hivyo Tundu Lissu ametoa ushauri wa namna nzuri ya kushughulika na watu
"Sisi Tanzania ni wanachama wa kitu kinaitwa 'The MIGA Convention' Multilateral Investment Guarantee Agency ya benki ya dunia, ukiwa mwanachama wawekezaji wakileta mali zao kwako, ukichukua mali zao kama walivyochukuliwa mali zao namna hii utapelekwa kwenye mahakama zao za kimataifa unaenda kushughulikiwa huko, tumesaini mkataba wa ulinzi wa wawekezaji na mataifa wanayotoka wawekezaji hao Marekani, Canada, Uingereza wote ni mabosi wakubwa makampuni ambayo Rais ameyakamatia mali zao yanatoka kwenye hizi nchi tuna 'bilateral investment treaties ambazo zinalinda mikataba hii" alisema Tundu Lissu
Makontena ya mchanga wenye madini yaliyozuiliwa bandarini
Tundu Lissu anasema hili suala tusipokuwa makini nalo linaweza kuleta matatizo makubwa huku akimtaja muhusika wa mikataba iliyolifikisha taifa katika hasara iliyobainika katika uchunguzi huo.
"Rais anajiingiza kwenye mgogoro mkubwa, akimkamata Dalali Kafumu peke yake, tutamwambia kwanini siyo Gray Mwakalukwa mikataba yote hii imeingia wakati wa Mr. Gray Mwakalukwa, kwanini siyo Daniel Yona, kwanini siyo Jakaya Kikwete sababu alikuwa Waziri na mimi nina mkataba wa Bulyankulu na kwanini siyo mawaziri wote, kwa sababu mikataba iliingiwa wakiwa mawaziri" alisema Tundu Lissu
Rais Magufuli akipokea ripoti ya kamati
Lakini mbali na kusema yote hayo Tundu Lissu alitoa ushauri wake katika suala hilo...
"Kama unataka kufanya haya unayoyafanya elewa hali halisi ilivyo, tatizo liko wapi kama tatizo ni kwamba tunapata mapato kidogo na kweli wanatupiga kweli kweli ila kama utaka kufanya mambo kweli kweli kajiondoe kwanza MIGA ili hao wawekezaji wasikushtaki kwenye hizo mahakama za huko, maana wakikushtaki kule unanyolewa bila maji, hakuna ndege ya Tanzania itakanyaga hizo nchi wataikamata, hakuna hela tutaweka kwenye nanii za kimataifa watazikamata, kwa sababu tunavunja mikataba ya kimataifa inayolindwa na sheria za kiwekezaji za kimataifa, kwa hiyo anzia huko juu ukimaliza mikataba ya kimataifa, njoo kwenye mikataba kati ya nchi na nchi ondoa hiyo mikataba ukishaondoa hiyo hushtakiki nje, baada ya hapo njoo ndani sababu bado unaweza kushtakiwa ndani" alisisitiza Tundu Lissu
Mbona husemi hicho walichomshauri maana ushauri wa Lissu tunauonaTundu lisu ni tobo haelewi lolote. Akina prof kabudi wameshaliona na kumshauri vyema jpm. Halafu anapaswa kujua kuwa kudeclare kiasi tofauti kilichomo ndani ya mchanga ni kuvunja mkataba automatically. Mi niliwaambia tundu lisu ni mweupe Wa Sheri anashindaga vi case vya kitoto sana.
Hata hili anatetea wezi mana ingekuwa yeye angeshindwa mchana kweupe mana anaona maluweluwe. Kilaza.
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameibuka na kuishauri serikali jambo la kufanya kutokana na matokeo ya uchunguzi wa mchanga wa madini uliofanywa na kamati ilyoundwa na Rais John Magufuli.
Tundu Lissu
Tundu Lissu anasema Tanzania ni mwanachama wa 'The MIGA Convention' hivyo ukiwa mwanachama ukachukua mali za wawekezaji wao utapelekwa kwenye mahakama za kimataifa na kwenda kushughulikiwa huko, hivyo Tundu Lissu ametoa ushauri wa namna nzuri ya kushughulika na watu
"Sisi Tanzania ni wanachama wa kitu kinaitwa 'The MIGA Convention' Multilateral Investment Guarantee Agency ya benki ya dunia, ukiwa mwanachama wawekezaji wakileta mali zao kwako, ukichukua mali zao kama walivyochukuliwa mali zao namna hii utapelekwa kwenye mahakama zao za kimataifa unaenda kushughulikiwa huko, tumesaini mkataba wa ulinzi wa wawekezaji na mataifa wanayotoka wawekezaji hao Marekani, Canada, Uingereza wote ni mabosi wakubwa makampuni ambayo Rais ameyakamatia mali zao yanatoka kwenye hizi nchi tuna 'bilateral investment treaties ambazo zinalinda mikataba hii" alisema Tundu Lissu
Makontena ya mchanga wenye madini yaliyozuiliwa bandarini
Tundu Lissu anasema hili suala tusipokuwa makini nalo linaweza kuleta matatizo makubwa huku akimtaja muhusika wa mikataba iliyolifikisha taifa katika hasara iliyobainika katika uchunguzi huo.
"Rais anajiingiza kwenye mgogoro mkubwa, akimkamata Dalali Kafumu peke yake, tutamwambia kwanini siyo Gray Mwakalukwa mikataba yote hii imeingia wakati wa Mr. Gray Mwakalukwa, kwanini siyo Daniel Yona, kwanini siyo Jakaya Kikwete sababu alikuwa Waziri na mimi nina mkataba wa Bulyankulu na kwanini siyo mawaziri wote, kwa sababu mikataba iliingiwa wakiwa mawaziri" alisema Tundu Lissu
Rais Magufuli akipokea ripoti ya kamati
Lakini mbali na kusema yote hayo Tundu Lissu alitoa ushauri wake katika suala hilo...
"Kama unataka kufanya haya unayoyafanya elewa hali halisi ilivyo, tatizo liko wapi kama tatizo ni kwamba tunapata mapato kidogo na kweli wanatupiga kweli kweli ila kama utaka kufanya mambo kweli kweli kajiondoe kwanza MIGA ili hao wawekezaji wasikushtaki kwenye hizo mahakama za huko, maana wakikushtaki kule unanyolewa bila maji, hakuna ndege ya Tanzania itakanyaga hizo nchi wataikamata, hakuna hela tutaweka kwenye nanii za kimataifa watazikamata, kwa sababu tunavunja mikataba ya kimataifa inayolindwa na sheria za kiwekezaji za kimataifa, kwa hiyo anzia huko juu ukimaliza mikataba ya kimataifa, njoo kwenye mikataba kati ya nchi na nchi ondoa hiyo mikataba ukishaondoa hiyo hushtakiki nje, baada ya hapo njoo ndani sababu bado unaweza kushtakiwa ndani" alisisitiza Tundu Lissu
Kujitoa ni wazo zuri tu lakini nalo pia linamadhara yaleyale. Maana mikataba hiyo ipo kulinda maslahi yao wazungu. hivyo hawawezi kukubari kirahisi kujitoa lazima walete zengwe la kuwekewa vikwazo, kukata misaada et al. Either ways, being Lissu's approach or magufuli's will bring us consequencesKusoma na kuelewa huwezi, kuona na kusikia nako ni shida mkubwa ?
Lissu hajapinga lolote, ila ametahadharisha kuwa kinachofanyika ni sawa na hakuna unless itanguliwe kwanza na....
Kitu ambacho hata Lissu japo hajasema japo ndivyo ilivyo ni kuwa, hatuwezi kujichomoa huko !!!
Na ili ionekane tuko serious kweli, basi tuanze kujitoa kwanza kwenye mikataba hiyo kimataifa tuliyosaini kama nchi....
Lakini kinachofanyika sasa ni purely polictical gimmicks kwenye ishu ambayo ina sura ya kimataifa......
Nina hakika, akina Jakaya Kikwete na Ben Mkapa wanamsikilizia jamaa anavyojaribu kuparangana kisha wauone mwisho wake... I am sure wanatazama na kutikisa vichwa tu......
Ishu ya Zimbabwe na mashamba ya walowezi wazungu iko quite different na hii ishu yetu mkubwa, amka acha kupotosha huku ukiwa umelala uongozi wa kukosa ufahamu...!!
Na Lissu yuko précicely clear kwa kusema "....tutanyolewa bila hata maji.... ", kwa sbb cha mtoto IPTL, Songas na Richmond tu ilishashinda na kutunyoa kisawasawa huku tukigugumilia maumivu...
Na, I think, laiti Magufuli angeanza kwanza kwa kuvunja mikataba ya kinyonyaji ya ufuaji umeme ya hivi vikampuni vidogo i. e Richmond a. k. a Symbion, Songas na IPTL ningemuona mwanaume.....
Lakini kaparamia eneo gumu mno, hakika ajindae kuingiza kichwa kwenye oven tunyolewe bila maji......
Kujitoa ni wazo zuri tu lakini nalo pia linamadhara yaleyale. Maana mikataba hiyo ipo kulinda maslahi yao wazungu. hivyo hawawezi kukubari kirahisi kujitoa lazima walete zengwe la kuwekewa vikwazo, kukata misaada et al. Either ways, being Lissu's approach or magufuli's will bring us consequences
Kujitoa ni wazo zuri tu lakini nalo pia linamadhara yaleyale. Maana mikataba hiyo ipo kulinda maslahi yao wazungu. hivyo hawawezi kukubari kirahisi kujitoa lazima walete zengwe la kuwekewa vikwazo, kukata misaada et al. Either ways, being Lissu's approach or magufuli's will bring us consequences
Akinyolewa magufuli bila maji, madhara Yake yatasambaa kwa watanzania wote, na hivyo wote tutakuwa tumenyolewa bila maji. Kama tunaogopa kunyolewa bila maji basi tuwaache waendelee kutuibia na kila mtanzania aufyete.Na hii ndiyo logic behind ya Tundu Lissu's comments.....
Kwamba, either this way or that, kote Magufuli atanyolewa bila maji !!
Akinyolewa magufuli bila maji, madhara Yake yatasambaa kwa watanzania wote, na hivyo wote tutakuwa tumenyolewa bila maji. Kama tunaogopa kunyolewa bila maji basi tuwaache waendelee kutuibia na kila mtanzania aufyete.
Ujifunze kupembua vitu vizuri unakurupuka tu kama Rais wako.. Subiri uone jtatu wanafungua kesi mahakama ya, biashara.. Swali la kwanza wameuliza maabara zilizotunika ziko cerfified kimataifa kufanya hiyo kazi? Tayari gumi la pua round ya, kwanza tu..Tundu lissu anashindwa kuelewa kuwa kudeclare kiasi cha madini tofauti na kilichopo katika makontena ni kuvunja mkataba!?...hivyo automatically Acasia wamekuwa wakivunja hiyo mikataba ambayo tobo lisu anadhani itatushinda.
Amuulize mugabe alichofanywa kwa ubabe kama huuDereva wa Lori yuko bize anaendesha tu,hawezi kuwasikia mpaka ashike breki.
Viongozi wako ndy wanajipya mnasaini mikataba hku mkiwa gizani.....shame on you lumumbasLissu hana JIPYA