Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
That has nothing to do with contract law for all you know based on the activities explained labda alikuwa human right lawyer.Hivi tunafahamu lissu ame specialize katika nini???Ninavyojua lissu alifanya utafiti katika mgodi wa Bulyankulu miaka ya 1996 na kuwahi kufunguliwa kesi akitetea wachimbaji wadogo waliodhaniwa kufukiwa wakiwa hai ili mwekezaji apewe mgodi. Eneo hili alilifanyia kazi vya kutosha kabla ya kuendelea kufanya kazi marekani, akiendelea na tafiti za namna hii.Kwa hiyo Lissu anafahamu hii mikataba ya madini na consequences zake kisheria
Lissu kwenda marekani kusomea anachojua sio jambo la kushangaza the guy has been everywhere mimi nishawahi kumuona kwenye BBC documentary for their UK audience akiwa kijana kama mtaalamu wa mambo ya asili na somo la ukoloni tena alitoa somo zuri kuhusu mambo ya mbuga za wanyama na geography yake.
Lakini linapokuja swala la knowledge or expert opinion kinachoangaliwa is how valid is the argument principally; sasa hapo mtu awe na Phd awe na nini kama na wewe unazijua you can apply them to evaluate his argument. Nadhani ndio hapa kama jamii elimu inatupiga chenga utakuta mtu ana quote tu maneno ya mtu au kitabu alichosoma as if the person has unquestioned authority.
In short anachoongea lissu hapo ni aspect ndogo sana ya mkataba kwenye kuweza kuuvunja principally.