Nimejaribu kusoma tena na tena lakini sijaambulia kitu!!vp kama ungetumia kiswahili?despite of whaever LISU said. Who makes good ideas in the House of Representatives to become things or actions? notwithstanding who particularly said (CCM/CDM/...)
Right, imagine that, eti "faida ya kuoana," how preposterous is that?Mm nataka huu muungano ufe hauna manufaa yoyote kiuchumi utaskia mbunge anasema faida za muungano ni kuoana
nilisikia uwezo wa Tundu Lisu peke yake ni sawa na uwezo wa wabunge 50 wa magamba. Lol! Kumbe kweli!
Kweli kabisa mkuu; he was very clear and to the point. Hakumung'unya maneno; yaani ni mtu ambaye ukisikiliza maneno yake ukalinganisha na jinsi anavyoji-behave wakati anapotoa lecturer yake huna shaka kwamba ni mtu makini na anamaanisha anachokisema pasi na unafiki wowote - hata magamba wengine wakiongozwa na Sitta, Werema, Lukuvi, na Vita Kawawa niliwaona wakisikiliza lecture ya Lissu kwa umakini wa hali ya juu. Kwa uchache ameongelea yafuatayo:-
(i) Muungano ulifanywa kwa usiri mkubwa, siku 100 tu tangu Mapinduzi ya Znz ukawa tayari.
(ii) Hakuna chombo chochote cha uwakilishi wa wananchi kilichoshirikishwa katika kuundwa kwake.
(iii) Uliundwa kwa dharura hasa kwa shinikizo la mataifa makubwa ya wakati huo pamoja na hali tete iliyokuwepo Visiwani mara baada ya mapinduzi.
(iv) Mambo ya awali ya muungano (Articles of the Union - ambayo kimsingi ndio Muungano wenyewe) yalikuwa 11 lakini baadaye yakaongezwa kinyemela hadi kufikia 22 hivi sasa likiwapo suala la fedha.
(v) Muungano sio kama suala la Musa (pengine hapa akimaanisha maandiko) ambayo hayahojiwi popote bali ni suala la Kaisari (pengine akimaanisha Sheria za nchi) ambao tuna haki ya kuhoji kila kitu na kwa uwazi.
(vi) Mafanikio ya NYERERE na KARUME ni yetu sote vivyo hivyo na madhaifu yao hivyo tusione shaka wala aibu kuhoji na/au kukosoa.
Sasa, ili kuondokana na kinachoitwa kero za Muungano na manung'uniko ya kila uchao; ameshauri mambo MAWILI ya msingi yafanywe kwa WANANCHI kuulizwa yafuatayo:-
(i) JE, TUNAHITAJI MUUNGANO?
(ii) KAMA NDIO, MUUNGANO WA AINA GANI (muundo)?
Kimsingi amepasua jipu. Asante sana Mh. Lissu.
Na ukisoma kwa makini sana kijitabu kuhusu muungano kilichoandikwa na Sheikh Aboud Jumbe kimebainisha wazi kuwa JK Nyerere ndio alilazimisha muungano kwa maslahi binafsina nchi yake Tanganyika lakini vile vile ukisoma kijitabu kuhusu muungano cha Prof Issa Shivji kimeweka wazi kabisa Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar hauna uhalali kwa aina yoyote iwe kisiasa au kisheria. Hivyo muungano huu ni batili. Na aliendelea zaidi kwa kusema Muungano huu si Muungano bali ni Mvutano.
Sasa Mimi nashauri WaTanganyika hapo mna nafasi kubwa kudai utaifa wenu na hilo litapelekea kuwe na taifa huru la Tanganyika kama ilivyo Zanzibar ndipo mengine yafuatwe.
Sioni sababu kuona aibu kuu discuss huo muungano kwa uwazi na upana wake wote ili kuondoa malalamiko ya pande zote.
Ahsantum Sana Tundu Lissu kupasua jipu. Wengine kazi kwenu
Hata Wakenya tumetenganishwa na Wakoloni, lakini mbona tumewaambia heeey, slow your role with this EAC thing. Kama kuungana ungana na majirani ni poa Wakenya sio ndugu zetu?Zanzibar na Tanganyika tangu zama za zama; ni kitu kimoja; tumetenganishwa na wakoloni. Wazanzibari ni ndugu zetu, na Sisi ni ndugu zao.
Laana ya Viongozi wetu ndio nini bana wewe!?? Mtoto mdogo ndio anatishiwa "laana." Muungano tunauvunja na hakuna cha laana.Tukujitenganisha tu, tumekwisha na laana ya Viongozi wetu itatutafuna.
Tuulizwe kwenye referendum ni aina gani ya Muungano tunataka, umejuaje tunautaka? Kwanza kabisa tuulizwe: Je Tunataka Muungano? Mkilazimisha lazimisha matokea yake ndio haya, Muungano unakuwa hauna legitimacy na watu wanau question kila uchwao. Acheni Watanganyika na Wazanzibari, kama wanataka, waungane kwa utashi wao, au kama hawataki, Muungano out the window!Ifanywe referendum kupata maona ya Tanzania Bara na ya Tanzania Visiwani kuhusu aina ya Muungano na Serikali ngapi? 2? 1? 3? 5?
Hata Wakenya tumetenganishwa na Wakoloni, lakini mbona tumewaambia heeey, slow your role with this EAC thing. Kama kuungana ungana na majirani ni poa Wakenya sio ndugu zetu?
Laana ya Viongozi wetu ndio nini bana wewe!?? Mtoto mdogo ndio anatishiwa "laana." Muungano tunauvunja na hakuna cha laana.
Tuulizwe kwenye referendum ni aina gani ya Muungano tunataka, umejuaje tunautaka? Kwanza kabisa tuulizwe: Je Tunataka Muungano? Mkilazimisha lazimisha matokea yake ndio haya, Muungano unakuwa hauna legitimacy na watu wanau question kila uchwao. Acheni Watanganyika na Wazanzibari, kama wanataka, waungane kwa utashi wao, au kama hawataki, Muungano out the window!