Lisu kawashauri muwe mnakaa kwa distance na mvae barakoa msifanya ujinga kama ule wa kwenye mkutano mkuu na ile siku ya kumpokea!Kuna mtu anasema amenunua ndege kwa keshi na haoni mtanzania mwingine anaweza kufanya hivyo,Sasa sijui kesho corona ikimchukua ndo utakuwa mwisho wa nchi hii? Kwa kweli kuwa uyaone
Hahaaa kumbe na yeye anasikia??Ni picha inayohuzunisha, tunasikia taarifa watu wanakufa kwa corona
Sasa wewe unafikiri kwa vile wewe TV yako inakamata channel moja ya TBC1 unadhani kila mtu?Tehetehe acha ahutubie wakenya,kura wanapiga watanzania
Hata lowassa alidiriki kuvuka mpaka na kuongea na wakenya
Nafurahi lissu anajivuruga mapema tunapa pointi za kumpiga nazo
Kwani yuko kwenye kampeni?Wakenya watampigia kura. Duh.
Ni mpumbavu pekee anaweza kusema USA wameendelea wana taa hadi barabarani ila ziliwa tz siyo maendeleo.Kwamba taa za barabarani nazo siku hizi ni maendeleo? Kukosa exposure kweli ni mzigo,kumbe ndo maana walitaka kuweka taa hapa mbezi
Mataga yaiHawana muda wa kuhangaika na best loser,huyuu lisu hana jipya,acha akawahutubie wakenya màana ndo wapiga kura wake
Usipanic namna hii mataga.Na kura atapigiwa na dunia
Safi sana wakenya watampigia kura!Sasa wewe unafikiri kwa vile wewe TV yako inakamata channel moja ya TBC1 unadhani kila mtu?
Sasa hivi watu tunaangalia TV zote duniani tukiwa hata Chato
My logic: Yes we have corona but can not lockdown our people, and we need money then a logical thing to do is keep silence, don't create loud noise about corona because we need foreign currency from tourists and aviation business.Hao wataliii wanaokuja wanatokea nchi zenye korona kwa 120 %,
Logical thinking, nchi yenye corona free inashangilia kupokea wataliii kutoka nchi yenye corona???
Huyo ni mpumbavu!Lisu unaonaje uchaguzi ukiahirishwa mpaka mwakani kwakua Corona ipo??
Jamaa alivyo tegwa kwa Hilo swali , akaingia mtegoni, eti vaeni barakoa mnipigie kura.
Kumbe anapenda madaraka namna hii.
anatatizo kubwa na kisaikolojia ambalo huwapata watu wa aina kama yake kibaya zaidi hata watu wake wa karb hawamwambii....Lisu katumwa na mabeberu huyu jamaa ataleta madhara makubwa Sana kiuchumi kwa Taifa letu hakika nawaambieni.
Unalijua hilo Nina uhakika utalizungumzia kwenye vikao vyenu vya mkakatiUsipanic namna hii mataga.
Hizo tv za nje zinasaidiaje kuongeza kura?Sasa wewe unafikiri kwa vile wewe TV yako inakamata channel moja ya TBC1 unadhani kila mtu?
Sasa hivi watu tunaangalia TV zote duniani tukiwa hata Chato
jamaa anatatzo la kisaikolojia asaidiwe.....Huyo ni mpumbavu!
Mbona kwenye mkutano wao walirundikana kama nzige na hatukuona barakoa?
Kumbe Nini?Kwamba taa za barabarani nazo siku hizi ni maendeleo? Kukosa exposure kweli ni mzigo,kumbe ndo maana walitaka kuweka taa hapa mbezi
Atangulie Lissu na mbowe mbele yenu! Mwendo utakuwa wa konokono! Kumbuka wote hao walemavu, msiwakimbize.Na safari hii tunaingia Barabarani
Mkuu hoja yangu Ni kuwa kwa kuwa sisi Ni corona free tofauti na wenzetu, bado tunahitaji tahadhari kuruhusu mwingiliano, toka kwa nchi ziliathirika,Tusubiri logic ya wapiga kura Oktoba 28, 2020.
Mkuu hadi Sasa nimejilock down, I work from home, mjini nakuja tu nikiwa nashida na bank hasa hasa stanbic masakiLisu kawashauri muwe mnakaa kwa distance na mvae barakoa msifanya ujinga kama ule wa kwenye mkutano mkuu na ile siku ya kumpokea!
Pia yeye mwenyewe mwambieni aache upumabvu! Asiwe anatangaza kuna corona wakati anapuyanga kwenye makundi ya watu bila barakoa