UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,517
- 7,722
Vipi jamaa kasimama kuhesabiwa?Leo siyo kichaa na vuvuzela?
Vipi jamaa kasimama kuhesabiwa?Leo siyo kichaa na vuvuzela?
Nilijua itakuwa feki, kwa hekima Ndugai hawezi kusema chochote sasa hivi!Ni feki kweli, Ndungai hakuwa Mwanza jana.
Ndugai ana hoja... kuna vitu vya ndani ndani anavijua.Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Ipo moral responsibility ya kutetea haki ya kila Mtanzania kumkemea Rais. Tundu Lissu anaielewa ndio maana ametoa tamko kusifu alichofanya Ndugai kuwa ni cha kihistoriaHii siku atakapomsapoti huyu asiyejua anataka nini ndo siku tutakapojiondoa kwake rasmi. Kwani wewe mpaka sasa unajua Supika wenu anataka nini? Angesimamia anachoamini angetetea sasa ameshakikana atetewe kwa lipi?
Pambafuuu.. Lissu ni shujaa wa karne nchini Tanzania.Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Pole ndugu,Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi
Ndugai ni mganga cheo, dhaifu, kigeugeu, na mminya demokrasia na haki za watu
Watetezi wa haki za msingi za kikatiba na uhuru wa mihimili wanapaswa watetee uimara wa taasisi, no matter who holds the office or how he behaves
Nilitegemea wakina Lissu wamkeme Rais kwa kuminya haki ya mwana mhimili mwingine kuhoji maamuzi yake
Hii inaonyesha jinsi gani nchi ilivyo jaa majuha. Watanzania hamna kazi, hamjui mtakula nini kesho, inflation ya uchumi imepanda kika kitu bei juu na wala hamna mahali pa kulala, lakini katika mambo ya udaku kama huu Mh. Ndugai kila mmoja ni champion. Mnafurahia kiasi kwamba hamjui nini ni out come!Tundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Huo muhimili wenyewe uko Hapo kimagumashi.Umeingia Hapo Kwa wizi wa kura!Wapinzani wanapaswa watetee taasisi, mhimili, sio Ndugai kama mtu binafsi
Bwashee, I thought you're tagging me after the dude stood up on his principles!
Si rahisi kumwelewa huyo jamaa, wengi huwachukuwa miaka kuelewa point yake.Vipi jamaa kasimama kuhesabiwa?
Ewaaaa!!!!,Upo sahihi kabisa Mkuu..wapinzani wametetea sana mihimili ya bunge, na mahakama.
..unless unataka " wanunue kesi " ktk valangati linaloendelea kati ya SSH vs JYN.
..mimi katika hilo nadhani haiwezekani kwasababu Spika ameshaeleza kwamba hakumpinga, na hapingani na Raisi.
..hoja yako ingekuwa na uzito kama Spika angekuwa hajaikana kauli yake ya mwanzo.
Wewe nawe, unajifanya hujui nani aliyempiga Lissu risasi??.Si ni Li Serikali lenu!!!,Maviii kabisa,unatetea uovu?. Ngoja siku huo uovu na ubaya ukurudie mwenyewe.Haya mambo ya siasa si ya kuchekana mwenzako anapopata shida, Ndugai alifurahia Sana unyama aliotendewa Lissu,Leo hii wale waliompa kichwa kwa kuminya haki za Lissu km vile kumnyima pesa ya matibabu,posho, Mshahara wamegeuka wanamsulubu.Ndugu yangu ishi ukimpendeza MUNGU na sio wanadamu.Major yako umesema ushujaa Wake na utetezi Wake wa haki … kumpinga Rais . Akapigwa Risasi. Nani kampiga Risasi? Haki gani aliyokuwa anatetea.
Punguza upumbavu.
Hii inaonyesha jinsi gani nchi ilivyo jaa majuha. Watanzania hamna kazi, hamjui mtakula nini kesho, inflation ya uchumi imepanda kika kitu bei juu na wala hamna mahali pa kulala, lakini katika mambo ya udaku kama huu Mh. Ndugai kila mmoja ni champion. Mnafurahia kiasi kwamba hamjui nini ni out come!
Huyo mama yenu naye kwa watu wenye mtazamo mpana wa siasa na uongozi ameonyesha udhaifu wake mkubwa na sio kitu cha busara. Yeye hajioni kama matendo anayo yafanya ni Double Standard?
Amempa mtu wizara nyeti ya Nishati wakati mtu huyo huyo alihusika katika sakata la kufanya jambo baya sana katika nchi kwa kutaka kumpindua au kumwangusha Rais aliyekuwa madarakani wakati ule hayati JPM na ambaye ndiye aliyekuwa bosi wake wakati yeye ni makam wa Rais. Kuna kitu kibaya kama hiki ambacho waziri wake wa Nishati Mh. Makamba amekifanya?
Spika wa Bunge kafanya nini hasa kikubwa ambacho leo hii mpaka Rais mkubwaa, mtawala wa nchi na mwenye mamlaka ya juu kabisa kwenye nchi likamfanya Spika wa Bunge letu tukufu Mh. Jobu Ndugai amtoe kafara?
Hili la kusema kuwa nchi itapigwa mnada kama tutaendelea kukopa? Mbona ni swala dogo sana na wala halina mashiko!
Kama kuna mambo mengine ambayo yanapikwa nyuma ya pazia hatuwezi jua lakini kwa maneno haya ya kuteleza, hapana, siwezi kukubaliana nayo hata kama hiyo kafara inaongozwa na Rais mwenyew!
Watanzania wenzangu ningewaona ni watu wenye akili kubwa kama mngejiuliza wenyewe, kwanini sisi pamoja na rasilimali zooote hizi tulizo nazo bado tunashindwa kuendelea? Badala ya kuendelea kuwa na mikopo isiyo pungua na kuwa na ukomo.
Jamani, watanzania wenzangu naomba tujiulize kitu kimoja, mnauhakika kweli tukiendelea kukopa hivi tutakuwa na uwezo wa kuwa na hakiba ya kuwa na pesa za kujiendesha wenyewe bila kuwa wategemezi wa mikopo kwa kila tutakalo panga kuliendeleza baadae?
Kila mmoja wetu anajua kuwa deni likiwa kubwa sana uwezo wetu wa kuzidi kukopa unapungua na vile vile uwezo wa kutekeleza baadhi ya projects za kimkakati huko mbeleni unapungua, kwani hela nyingi zitakuwa zinatumika kulipa mikopo iliyo iva badala ya kuzipeleka kwenye ku-finance hiyo miradi na kwenye kudumisha ustawi wa jamii.
Huduma za serikali za kugharimia elimu bure na afya nazo hupungua au kutokomea kama ilivyo kuwa kipindi cha hayati Rais Mkapa na Rais mstaafu Kikwete.
Kwa hali hii ningewaomba watanzania wenzangu kuwa makini sana na maneno mazuri ya wana siasa na wachumi wetu wanayo yatoa mitandaoni na majukwaani. Uhalisia wa mambo sio hivyo kama wanavyo wajaza.
Tusijilinganishe na nchi zilizo endelea kama Ujerumani na Japan. Hawa wakikopa wanajua kuwa nguvu kazi na skills za watu kwenye soscieties zao zita kuwa na uwezo wa kujikwamua kiteknolojia. Lakini kwenye nchi yetu kuna watu wenye skills gani ambazo zutatuwezesha sisi kuondokana na hayo madeni?
Zaidi ya hayo naomba niwaambie kitu kingine kuhusu miradi ambayo tunajivunia ya Bwawa la Nyerere na SGR. Je mmeangalia upande wa risk analysis ya miradi hiyo ikoje?
Bwawa la umeme kama tunavyo jua linategemea zaidi maji ya mto Rufiji ambayo kulingana na mabadiliko ya mazingira hatutaweza kuwa na uhakika kama yataendelea kutiririka milele bila kuwa na ukomo. Ukame uliotukuta mwaka jana nafikiri hamja sahau. Mara moja tumejikuta tuna uhaba wa maji ya mito ambayo yalisababisha mgawo wa umeme na upungufu wa maji DSM.
Vile vile kitu kikubwa zaidi ambacho hao wanasiasa na viongozi wetu hawatuambii ni msimamo wa EU na Amerika juu ya utekelezaji wa Bwawa hilo la Nyerere.
Nafikiri wengi wenu mtakuwa mmesha sahau tayari au pengine mmelichukulia hilo swala ki mzaa mzaa. Kumbukeni kuwa kutangazwa kujengwa kwa hilo bwawa na hayati Rais Magufuli Bunge la wajerumani (Bundestag) mara moja lilipitisha azimio la kufanya kila liwezekanalo kuzuia kujengwa kwa hilo bwawa. Naona wengi wenu hata viongozi wetu hawajalitilia maanani azimio hilo na pia hawawajui wazungu kwa misimamo yao.
Naomba niwakumbushe kitu; Wakati Lissu anaondoka nchini 2020 alisindikizwa na Balozi wa ujerumani mpaka Ujerumani na baadae akapelekwa Belgium. Mnajua kwanini? Naomba mjiulize Lissu ni nani haswa kwenye ulimwengu huu mpaka Balozi wa nchi kubwa na tajiri duniani kama Ujerumani imsindikize yeye?
Kama hamjui basi nawaomba mwelewe kuwa hiyo ndiyo strategy ya serikali ya Ujerumani kupitia EU kutaka kumsaidia Lissu awe Rais wa nchi yetu ili wazuie huo mradi na maendeleo yetu mengine.
Lissu yuko Belgium sio kwa sababu ya wabelgiji, wabelgiji hawana deal na sisi. Huo ni mpango wa serikali ya Ujerumani wakishirikiana na Uongozi wa EU kutaka kufanya sabotage ya uchumi na naendeleo yetu. Lissu mara kwa mara anakwenda ujerumani kukutana na viongozi wa serikli ya Ujerumani na kuwasiliana mara kwa mara na na Chair wa baraza la EU mnafikiri lengo ni lipi? Hivi ndivyo EU ilifamfanyia Tshisekedi pia Rais wa Kongo.
Nyie endeleaeni tu na mambo yenu ya kumtoa Spika Ndugai kafara!
Pia watanzania nawaomba kuweni makini sana na matukio mnayoyaona hivi sasa yanatokea kwenye kesi ya Mh. Mbowe. Mmejiuliza kwanini kwenye kesi yake mahakamani balozi za nchi za kigeni kama marekani na EU wanakwenda kusikiliza? Mbowe ni nani kwao?
Hiyo yote ni mipangilio ya plan yao kuifanya Tanzania iwe kama DRC. Ikumbukwe kwamba DRC na Tanzania ni nchi kubwa na zenye rasilimali nyingi sana Afrika na ambazo wao wanazitegemea kwa maendeleo yao. Watakuwa wajinga sana kama wataziacha rasilimali hizi zote tuzi-control sisi wenyewe kwa manufaa yetu bila wao ku dictate!
Wanachotaka ni mawili aidha kumweka mtu ambaye atafanya mambo kulingana na matakwa yao ili wao watuibie kama kipindi kile cha Rais Kikwete (Mkwere) au kuleta chaos ambayo itasabaisha hali kama ilivyo sasa DRC. Jamani, Tshisekedi naye pia ni mchongo wa EU, mbona watanzania mnakuwa wajinga kiasi hicho?
Mh. Ndugai sio mjinga kiasi hicho watanzania. Mama Samia anamatatizo mengine na chama chake kwa ajili ya umbile lake. Kuna watu huko hawako tayari kumwona yeye anaongoza nchi after 2025. Si mwenyewe amesema? Au hammwelewi?
Kuhusu SGR nayo ukiiangalia kwa makini, sijui kama itaunganishwa na DRC. Rwanda na Burundi hatuna shaka. DRC chini ya Tshisekedi iko kwenye minyororo ya EU ndugu zangu. Hivyo nyie watanzania hamwoni mambo yanayotokea huko kila mara vijana wetu tulio wapeleka kusaidia kuilinda hiyo nchi kwenye Mission ya UN dhidi ya magaidi, wanakuwa ni walengwa wa kuuawa na hao magaidi? Na kwanini vijana wetu tu na sio wa nchi nyingine ambao nao wako huko?
Namwomba sana Mama Samia kuacha kuwa na uhasama na Spika wa Bunge na kujaribu kutafuta ufumbuzi. Haileti picha nzuri kwa vijana wetu kuona au kusikia watu wazima na wenye mamlaka kama yao kulumbana kama watoto wadogo.
Wanawapa faida maadui zetu ambao mda wote wanasubiri na kutafuta njia za kutudhohofisha. Ulimwengu uko kwenye vita kubwa sana ya uchumi Mama kuliko hayo unayo yaendekeza. Spika alikwisha omba radhi kwa kutereza kwake, kwanini uendelee kumjeruhi mtu ambaye amesha kiri kuwa kafanya kosa? It makes no sense!
DoneTundu Lissu umepigwa risasi ukipigania haki ya kuhoji na kumpinga Rais. Sasa imekupasa kufanyika mfano wa utaua na mzee wa kitaifa, a towering statesman
Spika Ndugai hakujali ulipopigwa risasi, na hajui unachokitetea ni nini, leo hii yamemkuta Spika Ndugai, mwanasiasa mwenzio na mtesi wako, the shoe is on the other foot
Sasa muonyeshe, na ionyeshe nchi na dunia kwamba una misimamo ya kweli na thabiti, you are authentic and principled
Toka hadharini upiganie kwa nguvu haki ya kusema ya Spika Ndugai hata kama yeye amewanyima wenzake haki hiyo
Unakaaje kimya kwenye suala zito la kitaifa kama hili la mhimili wa bunge kupigwa pini na Rais mwenye manguvu ya kimungu ? Unawezaje kukaa kimya?
Tayari kishaonyesha.Bwashee akionyesha kuwa yuko principled kiasi hicho unitag!
Nasubiri kwa hamu.
Asante sana mkuu kwa mchango wako wa hoja. Nimeisoma yote na kukuelewa vizuri sana. Nimefurahishwa sana na mpangilio wako maelezo. Kwa leo nikuombe msamaha kuwa sitaweza jibu hoja yako kama ambavyo uli expect kwa sababu ya nafasi.Sikubaliani na wewe kabisa. Naona unataka kumuangushia jumba bovu Lissu. Yani serikali ya CCM ikope halafu lawama apewe Lissu.
1. Hivi ulishawahi kujiuliza Lissu alifikaje ubelgiji?. Lissu alienda ubelgiji kwa matibabu baada ya kupigwa risasi. Alipigwa risasi kwenye nchi yake ili afe Mungu akamponya Leo unaleta stories kana kwamba Lissu alikimbia ubelgiji akiwa mzima. Hilo ulizungumzi Bali unazungumza kana kwamba Lissu alienda ubelgiji kwa matembezi wakati alienda akiwa mgonjwa.
2. Kuhusu mabalozi kuhudhuria kesi ya Mh Mbowe. Unatakiwa ujiulize ni nani aliyefungua kesi ya ugaidi na kwa lengo gani?. Juzi hapa kulikuwa na kelele za mbowe aombe msamaha kwa Rais, ili asamehewe lakini wapi?. Mabalozi kuhudhuria kesi Ni kujiridhisha na madai ya ugaidi Kama Ni kweli au la. Maana kuhudhuria kwao kesi hakubadilishi maamuzi ya mahakama.
3. Umedai EU wanataka kuihujumu Tanzania. Lakini je unafahamu EU Ni mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania. Mikopo mingine na misaada mingi tumepata kutoka EU. Swali langu ni kwamba Kama EU analengo la kutuhujumu kwanini tunakopa kwao au kupokea misaada kutoka kwao.
4. Wewe binafsi unadai kuna shida kwenye mradi wa umeme wa Julius Nyerere kwamba hatujafanya upembuzi wa utoshelevu wa maji kwenye mto rufiji, na kwamba hakuna uhakika was maji kutoka milele. Lakini unakuja Tena na kudai nchi za ujerumani na ubelgiji zinatataka kuhujumu mradi wa umeme. Mkopo wa kujenga huo mradi unajua unatoka wapi? Ukijua usingesema unachosema.
5. Kuhusu Lissu kusindikizwa na balozi wa ujerumani uwanja wa ndege. Lazima utambue Lissu aliyopitia hapa nchini. Kwanza kapigwa risasi, pili kanyimwa matibabu, tatu kaondolewa kwenye ubunge , nne kufanyiwa vitimbi alipogombea urais wa Tanzania na tano polisi kugoma kufanya upelelezi wa jaribio la kumuua mpaka leo. Hivi ukiwa katika mazingira hayo Ni wapi salama pa kukimbilia?. Nyumbani kwenu hawakutaki kwanini usikimbilie kwa jirani. Lissu angekuwa hajafanyiwa yote matano Hapo juu na akakimbilia ubalozi wa ujerumani hata Mimi ningeshangaa.
6. Halafu mwisho, unadai serikali ya ubelgiji pamoja na ujerumani wanataka waifanye Tanzania Kama Congo. Unadai Wanataka kumuweka Lissu madarakani ili azuie miradi isiendelee. Naomba ujue kwamba serikali huwa Ina mpango ya miaka mitano, na mipango hii upitishwa na Bunge. Rais hawezi kutoka alikotoka akazuia mpango wa Taifa. Pia Tanzania haipati Rais kutoka jalalani, Bali kuna mfumo halali wa kumpata Rais ingawa saa zingine una madhaifu. Pia Kongo ni tofauti na Tanzania maana hakuna Vita vya wenyewe kwa wenyewe na system ya kuendesha nchi Ni tofauti.
Naomba nitoe ushauri, kwa Sasa vyombo vyote vya maamuzi vipo asilimia 98 Chini ya CCM kuanzia bunge mpaka halmashauri na wenyeviti wote wa mitaa na serikali. Nadhani kwa Sasa jicho letu tuelekeze kwao watuletee maendeleo na sio kuanza kutafuta watu wa kuwatupia lawama ambao hawapo kwenye vyombo vya maamuzi . Kuanza kumlaumu Lissu aliyepo nje ya system wakati wewe una mamlaka asilimia Mia ni kukuimbia majukumu.
Sikubaliani na wewe kabisa. Naona unataka kumuangushia jumba bovu Lissu. Yani serikali ya CCM ikope halafu lawama apewe Lissu.
1. Hivi ulishawahi kujiuliza Lissu alifikaje ubelgiji?. Lissu alienda ubelgiji kwa matibabu baada ya kupigwa risasi. Alipigwa risasi kwenye nchi yake ili afe Mungu akamponya Leo unaleta stories kana kwamba Lissu alikimbia ubelgiji akiwa mzima. Hilo ulizungumzi Bali unazungumza kana kwamba Lissu alienda ubelgiji kwa matembezi wakati alienda akiwa mgonjwa.
2. Kuhusu mabalozi kuhudhuria kesi ya Mh Mbowe. Unatakiwa ujiulize ni nani aliyefungua kesi ya ugaidi na kwa lengo gani?. Juzi hapa kulikuwa na kelele za mbowe aombe msamaha kwa Rais, ili asamehewe lakini wapi?. Mabalozi kuhudhuria kesi Ni kujiridhisha na madai ya ugaidi Kama Ni kweli au la. Maana kuhudhuria kwao kesi hakubadilishi maamuzi ya mahakama.
3. Umedai EU wanataka kuihujumu Tanzania. Lakini je unafahamu EU Ni mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania. Mikopo mingine na misaada mingi tumepata kutoka EU. Swali langu ni kwamba Kama EU analengo la kutuhujumu kwanini tunakopa kwao au kupokea misaada kutoka kwao.
4. Wewe binafsi unadai kuna shida kwenye mradi wa umeme wa Julius Nyerere kwamba hatujafanya upembuzi wa utoshelevu wa maji kwenye mto rufiji, na kwamba hakuna uhakika was maji kutoka milele. Lakini unakuja Tena na kudai nchi za ujerumani na ubelgiji zinatataka kuhujumu mradi wa umeme. Mkopo wa kujenga huo mradi unajua unatoka wapi? Ukijua usingesema unachosema.
5. Kuhusu Lissu kusindikizwa na balozi wa ujerumani uwanja wa ndege. Lazima utambue Lissu aliyopitia hapa nchini. Kwanza kapigwa risasi, pili kanyimwa matibabu, tatu kaondolewa kwenye ubunge , nne kufanyiwa vitimbi alipogombea urais wa Tanzania na tano polisi kugoma kufanya upelelezi wa jaribio la kumuua mpaka leo. Hivi ukiwa katika mazingira hayo Ni wapi salama pa kukimbilia?. Nyumbani kwenu hawakutaki kwanini usikimbilie kwa jirani. Lissu angekuwa hajafanyiwa yote matano Hapo juu na akakimbilia ubalozi wa ujerumani hata Mimi ningeshangaa.
6. Halafu mwisho, unadai serikali ya ubelgiji pamoja na ujerumani wanataka waifanye Tanzania Kama Congo. Unadai Wanataka kumuweka Lissu madarakani ili azuie miradi isiendelee. Naomba ujue kwamba serikali huwa Ina mpango ya miaka mitano, na mipango hii upitishwa na Bunge. Rais hawezi kutoka alikotoka akazuia mpango wa Taifa. Pia Tanzania haipati Rais kutoka jalalani, Bali kuna mfumo halali wa kumpata Rais ingawa saa zingine una madhaifu. Pia Kongo ni tofauti na Tanzania maana hakuna Vita vya wenyewe kwa wenyewe na system ya kuendesha nchi Ni tofauti.
Naomba nitoe ushauri, kwa Sasa vyombo vyote vya maamuzi vipo asilimia 98 Chini ya CCM kuanzia bunge mpaka halmashauri na wenyeviti wote wa mitaa na serikali. Nadhani kwa Sasa jicho letu tuelekeze kwao watuletee maendeleo na sio kuanza kutafuta watu wa kuwatupia lawama ambao hawapo kwenye vyombo vya maamuzi . Kuanza kumlaumu Lissu aliyepo nje ya system wakati wewe una mamlaka asilimia Mia ni kukuimbia majukumu.