Wamemfuata ndio maana akaahirisha kuja, unafikiri yeye mjinga, watu wanampenda wamempa info for your information.Siyo kweli, usishuhudie uongo! Amesema usalama wake una mashaka. Siyo kuwa wamemfuata ughaibuni!
Shetani anajulikana, mimi ndio niliwatuma watu wampige risasi, mhusika dunia nzima inamjua.Sasa kama wasiojulikana wameweza kumfuata huko aliko ataogopaje kurudi?? Shetani sio dudu fulani ni binadamu ambaye ni wewe!
Semeni aliopanga kwenda kuzuga nao kw kupiga picha wamemshtukia na kupiga chini ombi lake.Kufuatia taarifa za wasiojulikana kumfuata Lissu ughaibuni ashtuka aaihirisha kuja nchini ajipanga zaidi kwa siku zijazo. Shetani hana rafiki. Mungu atamlinda dhidi ya wabaya wake. Source idhaa ya Kiswahili BBC, India.
Aah si hata wewe ulikuwepo na Mbowe ile siku wakati anawapa maelekezo!Nasikia na wewe ulikuwepo siku ya kumshambulia mh Lissu ila ulikuwa umeelewa ukashindwa kulenga vema
Musiba ni argent wa chadema?
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
ingekua ndo ww sasa umekung'utwa risasi km 20 hv,zingine zimekuchakaza hadi matak*ni na sasa umepona kiasi flani japo bado huwez kutembea fresh,waliokumwagia risasi hawajapatikana na bado kuna watu wanasema ukirejea tu wanakumalizia,,,tuweke ushabiki maandazi wa vyama pembeni na tuangalie utu na usalama wako ,,,je ??ungerudi???Kwan mabeberu hawajamhakikishia usalama, baada ya mda watamtimua huko, na akirud analikuta Jiwe kuu la pembeni walilolikataa waashi , linamwangukia na kumsaga saga
tuna nafsi ngumu sanaHakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power team yao yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?