Tundu Lissu: Sitarudi tena Tanzania hadi nihakikishiwe Usalama wangu

Maneno ya Tundu Lissu siku zote yanaonekana kuwa mepesi lakini kwa watu wenye uelewa watatambua kuwa Tundu Lissu hajawai kukosea katika comments zake. Huwa anaongea huku akifahamu fika impacts za kile anachokisema. Sasa usipokuwa makini unaweza kumwelewa kiwepesi wepesi tu wakati yeye akimaanisha matokeo makubwa mbeleni.

MUNGU AKUBARIKI TUNDU ANTIPAS LISSU
Endelea kumwabudu huyo baba yako Tundu!
 
Then ataomba mahakama impe ulinzi. Polisi wataamlishwa na mahakama kumlinda then anakuja na kupokelewa na maua..

Serikali ndio mtuhumiwa wa kwanza katika shambulio lake, na huo ndio ukweli Daima.

Kwa sasa mahakama yapo mfukoni mwa serikali, hili halina ubishi.

Hakuna cha kuhakikishiwa usalama. Uamuzi alioufanya ni wa busara.

Tusubiri mahakama(ambayo ipo mfukoni mwa serikali) itachukua hatua gani kuhusu kesi zake.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Mwanasheria Tundu Lissu amesema hatorudi Tanzania hadi apate uhakika wa usalama wake
Tulijua tangia siku nyingi kwamba harudi. Ni baada ya kutemwa na mabwana zake. Hawana kazi naye tena! Kwa akili zake nilifikiri Lissu anayajua hayo. To them- he is a toilet tissue. He was used now discarded, he is in a bad situation than Mr. Kambona.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Mwanasheria Tundu Lissu amesema hatorudi Tanzania hadi apate uhakika wa usalama wake
Mbona Diamond platnumz anajeshi lake side nayeye aombe wale red brigade was mbowe wamlinde nayeye,
 
Yupo sahihi kupata uhakika wa usalama wake other wise waliokuwa nyuma ya ule mpango wa kwanza kabla ya kumvua ubunge na kumnyima gharama za matibabu wawe wamepatikana.

Awamu hii ya tumepoteza tunu ya utu iliyoachwa na baba wa taifa na umoja wetu umepotea tayari.

Waumini wa dhehebu tawala wamekuwa wakiwaona wale madhehebu mengine sio kitu (sijamaanisha dini nieleweke kidogo)
mengi yanafanyika kujifurahisha mitandaoni na ndio reflection ya maisha yetu tuliyojitengenezea kwa awamu hii ya uongoz ya sasa.
Tuna kazi kubwa sana ya kuirudisha tz kwenye misingi ya kidemokrasia na utu iliyoachwa na hayati baba wa taifa pamoja na walimfuatia licha ya wao nao kuwa na mapungufu yao.
 
Unatetea haki yako ya msingi ukiwa mbali na eneo la tukio? Ni vyema uanze kufanya mambo yako kimyakimya, unavyojieleza kila mahali na kila wakati unawapa sifa na kuwajulisha mikakati wabaya wako na kibaya zaidi hauwajui bali unahisi tu, kuna uwezekano mkubwa unaowaamini ndio sumu kwako.....anyway kila jambo lina mwisho wake.
 
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.

Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.

Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo


Naunga hoja kabisa pambana ukiwa huko huko.Hata wana frelimo ANC walipambana wakiwa tanzania
 
Serikali ndio mtuhumiwa wa kwanza katika shambulio lake, na huo ndio ukweli Daima.

Kwa sasa mahakama yapo mfukoni mwa serikali, hili halina ubishi.

Hakuna cha kuhakikishiwa usalama. Uamuzi alioufanya ni wa busara.

Tusubiri mahakama(ambayo ipo mfukoni mwa serikali) itachukua hatua gani kuhusu kesi zake.
Kuna neno kaongea Lissu akijibu swali lakini praise team hawalitafakari wao wanaliona ni LA kawaida.
Kasema "kwani Magufuli atatawala daima?"
Kwa akili ndogo hawawezi kuona uzito wa kauli hiyo lakini ni wazi kuwa kesha mbebesha Magufuli binafsi zigo lote na ni hatari sana kwa hatima yake baada ya kutoka madarakani. Yeye badala ya kujimwambafai alipaswa kutoka hadharani na kutamka uhakika wa ulinzi kwa Lissu kama Kikwete alivyo hakikisha ulinzi kwakebakiwa waziri baada ya kulishwa sumu
 
Hakuna mtu mwingine yeyote atakayehoji uamzi huo. Huo ni uamzi unaomhusu Tundu Lissu mwenyewe, familia yake na ushauri toka kwa ndugu na marafiki wa karibu zaidi naye wanaojali zaidi maslahi yake binafsi na mipango ya maisha yake atakavyo yawe.

Sidhani kwamba kuna mtu anaweza kuhoji uamzi wa namna hiyo.
amechukuwa uhamuzi wa busara sana, kuna kiongozi mstaafu pia amemshauri kwasasa asirejee had uyu baba amalize muda wake mwakani
 
Back
Top Bottom