Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tatizo huna akili
Muulize!
Muulize!
Haki Lisu akirudi Mbowe anammalizia.Inawezekana huwa mnachagua ya kusikia na kuyasemea ambayo yanatukuza upumbavu wenu! Nani mwenye dhamana ya kulinda raia? Unauliza nani wa kumhakikishia usalama wakati yeye amemtaja!!! Amesema hawezi kuwa rais daima, hii sentensi inamaana gani?
Vyombo hivi hivi vya Mambosasa na Siro?Nani amhakikishie?
Chama chake au vyombo vya ulinzi asivyokuwa na imani navyo?
Zile kauli za "Narudi nyumbani kupambana" naona zimeisha,sasa anaongea uhalisia.
Nasikia ameulizia kama wewe bado upo chadema basi yeye hawezi kurudi maana chemistry yako na Mbowe ni hatari kwa mustakabali wa maisha yake!Nasikia baada ya wewe kukosea shabaha kwa kumpiga miguuni badala ya kifuani uliteswa sana na walio kutuma
Sasa wewe umejuaje!Tatizo huna akili
Ukitumia akili za lumumba ☠hutamuelewaSimkubali JPM Ila simuelewagi kabisa tundu lisu.anakelele zisizokua n.a. msingi
Huwa anaeleweka kwa watu wenye akili na upeo mzuri, kama akili yako ni tia maji kamwe huwezi kumuelewa.Simkubali JPM Ila simuelewagi kabisa tundu lisu.anakelele zisizokua n.a. msingi
kwa majibu yako tu nimeshakudharau...dont be so bitter...Huwa anaeleweka kwa watu wenye akili na upeo mzuri, kama akili yako ni tia maji kamwe huwezi kumuelewa.
ukiwa nyuma ya keyboard unaviimba mwenyeweUkitumia akili za lumumba ☠hutamuelewa
Haji lakini "anagombea urais wa Tanzania FB"Haji, hiyo amani acha afurahie jiwe na familia yake.
Sana mtu anagombea uraisi TwitterTanzania kuna vituko!