Madai uliyotoa ni mazito sana. Ila ukweli hili si jambo jipya kwani watu wengi wanalalamikia kitendo cha JK akipelekewa majina ya watu wanaofaa kuwa majaji anaongeza majina yake.
Mimi nilishawahi kumsikia jaji Ramadhani kabla hajastaafu akilalamika pia. Kwa kuwa kwenye tume kuna uwakilishi wa TLS, ni rahisi kupata ushahidi wa kutosha.
Kuteua majaji kishkaji kuna madhara makubwa sana kwa nchi. WATANZANIA TUSICHUKUE MAMBO KILAINI, HILI TAIFA LINAZIKWA.
HUWEZI KUACHA VICHWA VIZURI VINAVYOFAA KUWA MAJAJI NA KUANZA KUTEUA WATU KWA KUWA NI WASHKAJI WAKO
Mimi nilishawahi kumsikia jaji Ramadhani kabla hajastaafu akilalamika pia. Kwa kuwa kwenye tume kuna uwakilishi wa TLS, ni rahisi kupata ushahidi wa kutosha.
Kuteua majaji kishkaji kuna madhara makubwa sana kwa nchi. WATANZANIA TUSICHUKUE MAMBO KILAINI, HILI TAIFA LINAZIKWA.
HUWEZI KUACHA VICHWA VIZURI VINAVYOFAA KUWA MAJAJI NA KUANZA KUTEUA WATU KWA KUWA NI WASHKAJI WAKO