Tundu Lissu: Sisi hatulazimiki kutumia Baraza la vyama vya siasa kukutana na Rais Samia. CHADEMA ni Chama Kikuu cha Upinzani!

Kwamba kwasababu kuna vyama vya siasa zaidi ya 20, sasa Rais aanze kufanya kazi ya kukutana na chama kimoja kimoja ???

1. Anaweza kukutana navyo ktk makundi, lakini viwe ni vyama vinavyokubaliana kimsimamo. Kwa mfano, huwezi kuwaweka TLP na Chadema ktk kundi moja.

2. Sio lazima Rais akutane ana kwa ana na vyama. Nadhani jukumu hilo angeweza kupewa waziri anayesimamia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

3. Jambo la msingi ni kuboresha mazingira ya kufanya siasa hapa nchini. Siasa zifanyike bila mikwaruzano baina ya vyama, au baina ya vyombo vya dola na vyama.
 
TZ kuna vyama zaidi ya 20, Rais atapata wapi huo muda wa kukutana na kila chama kivyake vyake?

..sidhani kama kukutana ni lazima, au muhimu.

..jambo lililo muhimu ni kuboreshwa kwa mazingira ya vyama kufanya siasa.
 
..sidhani kama kukutana ni lazima, au muhimu.

..jambo lililo muhimu ni kuboreshwa kwa mazingira ya vyama kufanya siasa.
Vile mtaona inafaa,siona hapa ni nani atakuwa mnufaika zaidi ya mwingine.
 
1. Anaweza kukutana navyo ktk makundi, lakini viwe ni vyama vinavyokubaliana kimsimamo. Kwa mfano, huwezi kuwaweka TLP na Chadema ktk kundi moja.

2. Sio lazima Rais akutane ana kwa ana na vyama. Nadhani jukumu hilo angeweza kupewa waziri anayesimamia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

3. Jambo la msingi ni kuboresha mazingira ya kufanya siasa hapa nchini. Siasa zifanyike bila mikwaruzano baina ya vyama, au baina ya vyombo vya dola na vyama.
Ni upumbavu kuona unabaguliwa na hutendewi haki wakati wewe mwenyewe umejaa ubinafsi, roho mbaya na ubaguzi kwa wenzio.
 
Huyu nae sisi tunahangaika na tozo za miamala kwenye simu na Luku yeye kakazana tu na SACCOS yao. Ningemuona wa maana kama angejaribu kuzungumzia hizi tozo ili kuonyesha anawajali wananchi!
Anachokupigania ndio Kina Solution ya kudumu ya Ujinga wa kuleta vitu vya Hovyo kama tozo.
Katiba Mpya
Kwa Sababu wa Bongo mna akili za Maiti, mmeshindwa Ku relate Matatizo yenu na Katiba Mpya.
Mtafanywa Misukule na ma CCM Mpaka Kiama
 
..kuvikusanya vyama vyote vya upinzani ktk mwamvuli wa baraza la vyama kisha wakaonane na raisi sio sahihi.
Ukweli unajulikana kwamba asilimia 95% ya vyama vya Upinza hapa Tanzania ni mali ya Serikali kwa lengo kuwahadaa wafadhili kuwa Tanzania ni nchi yenye kufuata mfumo wa Democrasi ya vyama vingi. Sasa Serikali kutaka kukutana na vyama vyote ni kutaka kuhalalisha upumbavu wao kwa kuiambia Dunia kwamba Rais alikutana na vyama vya Upinzani na upinzani wakaupitisha upumbavu wa kukandamiza Upinzani halisi kwa kura asilimia 95%.
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema chama chake hakilazimi kutumia Baraza la vyama vya siasa kufanya mkutano na Rais Samia Suluhu Hassan

Lisu amesema Chadema ni chama kikuu cha upinzani na kimesajiliwa kwa mujibu wa sheria na katiba.

Source: VoA Swahili
Mnaminyana wakati hamjui hata vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani. Sasa CHADEMA kwa matamko kwamba hamtambui UCHAGUZI MKUU wa 2020 wala matokeo yake, mnakuwaie tena chama kikuu cha upinzani?
Hebu tuwelewesheni tafadhali, au kwa kiti kimoja cha Ubunge?
 
Sifa za kuwa chama kikuu Cha upinzani ni zipi?

USSR
Ni kuwa na wabunge wengi kuliko vyama vingine vya upini. Ktk uchaguzi wa 2021 Chadema kilishinda viti vingi vya ubunge lakini vikaporwa na jiwe. Hawa walioporwa Ni wabunge ktk mioyo ya wapiga kura.
Nb: TUNATAKA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI.
 
..sidhani kama kukutana ni lazima, au muhimu.

..jambo lililo muhimu ni kuboreshwa kwa mazingira ya vyama kufanya siasa.
Rais wa sasa ana nia nzuri ya kuboresha hayo mazingira, tatizo linakuja haraka za baadhi ya watu, mtu hata hajakaa miezi 4 ofisini watu tayari wanataka aanzishe mchakato wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi! Hapo hapo wanataka aachie mikutano ya hadhara na maandamano holela, wanataka watu wao waachiwe mahabusu, ashughulikie wabunge covid n.k.! Sidhani mimi na wewe tunaweza kudeal na ishu kubwa kama hizo ndani ya miezi 4 tu! And watu hawakumbuki ameikuta nchi ipo katika hali gani kisiasa, demokrasia, uchumi na diplomasia! Wanachowaza ni kupitisha ajenda zao kwa kauli zisizo na heshima kama, TUNATAKA, TUNAMTAKA, KATIBA MPYA NI LAZIMA, TUTAKUTANA BARABARANI, WAJINGA n.k.! Uvumilivu una mipaka
 
Huyu nae sisi tunahangaika na tozo za miamala kwenye simu na Luku yeye kakazana tu na SACCOS yao. Ningemuona wa maana kama angejaribu kuzungumzia hizi tozo ili kuonyesha anawajali wananchi!
Nyie si mlipiga Kura za kishindo Kwa CCM wote Leo Una lalama

Polish_20210820_091255505.png
 
Siasa ni kama mchezo wa kete, yaani bao , chess, draft na mingineyo. Wenzake wameshacheza zao siku nyingi wanamsubiri yeye. Anayekataa kukutana na mwenzake ndiye anaonekana mwishoni.
Kuitwa genius na wanamitandao bila matokeo inafaida ipi?!
 
Back
Top Bottom