johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema chama chake hakilazimi kutumia Baraza la vyama vya siasa kufanya mkutano na Rais Samia Suluhu Hassan
Lisu amesema Chadema ni chama kikuu cha upinzani na kimesajiliwa kwa mujibu wa sheria na katiba.
Source: VoA Swahili
Lisu amesema Chadema ni chama kikuu cha upinzani na kimesajiliwa kwa mujibu wa sheria na katiba.
Source: VoA Swahili