Tundu Lissu: Sina shida na John Magufuli, nina tatizo na Rais Magufuli

Tundu Lissu anatoa somo muhimu kwetu hasa kwa mtaa wa Lumumba kuwa na mawazo huru kuweza kufikiri, kuhoji, kukosoa viongozi wa CCM na mfumo wao batili wa kiutawala. Na pia Tundu Lissu kuendeleza utamaduni wa kiongozi kuwa tayari kuhojiwa na media maswali magumu ni mfano mzuri unaotakiwa CCM kuuenzi badala ya kuukimbia.
 
wakala wa mabeberu
Instagram media - Bt2Krycj3b7.jpg
 
14 Feb 2019
Mbunge wa Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA Mh Tundu Lissu alifanya mahojiano marefu na Mubelwa Bandio wa Kwanza Production ndani ya Kilimanjaro Studios. Karibu ufuatilie mahojiano yote hapa

Source : Mutwiba
 
Back
Top Bottom